Router za 5g postpaid ni mkenge au kuna faida?

lucky_boy

Senior Member
Joined
Aug 9, 2017
Posts
117
Reaction score
231
Wakuu naomba kujua kama mada inavojieleza, sitaki kuingia mkenge natamani sana kununua router hii ya 5G inayotangazwa sana mitandaoni. Nimeshaongea na baadhi ya wafanya biashara hiyo sijaridhika, sasa nataka kupata neno kwa aliyebahatika kuzitumia.

Ni kwa matumizi binafsi lakini hapo mbeleni natarajia kuanzisha huduma ya kuunganisha watu internet/wifi kwa eneo nililopo

Karibuni kwa maoni wakuu
 
zipo vizuri kama mnatumia wachache ila kama ni wengi ziinazingua hasa mkiunganisha na pc mimi mwenyewe natumia niko nayo apa
 
So far so good...napata 8-9.8mbps ..devices zote home including mobile phones, laptops na tv zinastream poa TU. Hakikisha eneo ulipo Kuna 5g coverage.

Pia it's mobile.. naweza kwenda nayo ofisin kama watumiaji home hawapo...Kuna kapower bank kanasupport several hours pakiwa hakuna umeme.

So far I can't complain.
 
zipo vizuri kama mnatumia wachache ila kama ni wengi ziinazingua hasa mkiunganisha na pc mimi mwenyewe natumia niko nayo apa
Asante mkuu kwa feedback 🤝🏾
 
Mrejesho mzuri sana 🤝🏾
 
Last time i had fiber internet ya . 59,000 per month 20mbps. its cheaper and faster.

Changamoto ni downtime kuwa nyingi in a week hukosi 3-5 downtime. Mara mti umeangukia cable ..mara gari imegonga nguzo. And it takes masaa kadhaa kuwa fixed.

Pia haiko mobile..so you need kulipia fiber either home au ofisini..pia uwe na alternative ukiwa nje ya office.

Hizi router nadhani its a better option.
 
Thanks for your feedback
 
Hii ya Airtel ni huawei au Nokia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…