makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Vipi walikufungia!?Niliwacheki pia kuhusu hizo mita 500 namimi walisema hivyo
Hapana nilitaka tu kujua wanaoperate vpVipi walikufungia!?
Kwa mwenzio unlimited Bei ganmie nilichofanya ni kununua simu smart ambayo naifanya kama router kwa kuwasha hotspot then naunga bundle UNLIMITED lile la Mwaka... natumia TTCL nina laini 2... special number
superuser superuser kama wamebadili ni hadi uwasiliane nao.Wakuu ukisahau password ya hii router ya Ttcl unatakiwa ufanye nini kureset? I mean ile page ya kulogin kwenye mfumo ambayo default huwa user user.
Chief-Mkwawa
Shukrani kaka ngoja nijaribu.superuser superuser kama wamebadili ni hadi uwasiliane nao.
TTCL ndio zao hizo, wanakufanya kama mtoto eti utaharibu, walitakiwa tu kutupa details zetu wenyewe hata ukizingua una reset unarudi Sha upya details, hakuna kitu chochote complicated kwenye router.Shukrani kaka ngoja nijaribu.
Kuhusu kuwasiliana nao nilijaribu. Changamoto huku mikoani wanatuonaje sijui, maana nataka nifanye settings za mac filtering wao wanasema ntakorosha. Ni kitu nnachofanya miaka na miaka isipokuwa safari hii kuna dogo nlimuachia ofisi ndie aliyebadili password na haelewi.
Sidhani kama kuna matumaini ya kukumbuka.TTCL ndio zao hizo, wanakufanya kama mtoto eti utaharibu, walitakiwa tu kutupa details zetu wenyewe hata ukizingua una reset unarudi Sha upya details, hakuna kitu chochote complicated kwenye router.
Pia huyo dogo kama alicheza na user na pass za router yeye atakua anajua details mhoji zaidi.
Mkuu nimekaa india miaka 3 internet yao ina gharama hulinganishi na yetu, nlikuwa natumia airtelKaKa huku nchi za watu internet ni kama maji ya kunywa. Natumia kifurushi cha makadiri ya 9k per month.
Simu ni unlimired
100sms per day
2gb of data per day
Nikiwq sehemu yenye 5g natumia unlimited bureee
Kwa siku 28
Bongo tunafeli wapi?
View attachment 2994831
Mwaka gani na bei gsni ulitumia kwa packGe ipiMkuu nimekaa india miaka 3 internet yao ina gharama hulinganishi na yetu, nlikuwa natumia airtel
2016 hadi 19Mwaka gani na bei gsni ulitumia kwa packGe ipi
OK2016 hadi 19
KaKa huku nchi za watu internet ni kama maji ya kunywa. Natumia kifurushi cha makadiri ya 9k per month.
Simu ni unlimired
100sms per day
2gb of data per day
Nikiwq sehemu yenye 5g natumia unlimited bureee
Kwa sik
Namiss hizo huduma jijini New Delhi🔥KaKa huku nchi za watu internet ni kama maji ya kunywa. Natumia kifurushi cha makadiri ya 9k per month.
Simu ni unlimired
100sms per day
2gb of data per day
Nikiwq sehemu yenye 5g natumia unlimited bureee
Kwa siku 28
Bongo tunafeli wapi?
View attachment 2994831
Mkuu hii sio point ata kidogo huezi wazuia watu wengi kufanya mambo makubwa kisa wachache wanaocheck porn ambayo haina direct effect unazoweza zielezea NI assumption TuHii ikifika Tanzania Porno itmaliza nguvu kazi ya Taifa hususani hawa wanaosukumwa na msukumo rika, ila ndo hivo kila kitu kina faida na hasara.
Ila ndo hivo kila kitu kina faida na hasara.Mkuu hii sio point ata kidogo huezi wazuia watu wengi kufanya mambo makubwa kisa wachache wanaocheck porn ambayo haina direct effect unazoweza zielezea NI assumption Tu
Yani apo no sawa kusema eneo la ukame msichimbe kusoma watoto wanaweza kutumbukiaIla ndo hivo kila kitu kina faida na hasara.
Fiber za mitandao ya simu voda/Tigo/Halotel kama zimefika mtaani kwenu.Any update best router?
Kurasini huku hakuna huduma yeyote ya fiber kaka,labda suggestion nyingineFiber za mitandao ya simu voda/Tigo/Halotel kama zimefika mtaani kwenu.