Roy Keane awashukia wachezaji Man united

Enzi zao na sasa kuna tofauti kubwa....soka enzi zile lilikuwa na burudani saaaana, watu walitegemea zaidi SOKA asilia kwanza....hii iliwafanya kwanza wajione ni sehemu ya timu, pili wacheze kwa kujiamini.

Dunia ilishuhudia soka tamu angalau mpaka WC 1998 FRANCE.

Leo soka linatawaliwa na watu wawili mpaka wa tatu(CR7 & MESSI) kwa zaidi ya miaka 8!! Hamna jipya kwakweli
 
Mchezaji mmoja anakuwa na mambo meeengi matokeo hadumu sana kwenye game.....

Kuna wakina Ortega, Batistuta, Cafu, De lima, Edga Davis, Davo Suker, Nedven, Van Bommel, Bergkamp, Lilian Thuram, Zidane, Campos, Chilavet, Dwight Yorke, And Cole, Paul Ince, Ian Wright, Blanco, Gaza, Oliseh, McFish, Kumaro, Roger Miller, Edibily Lunyamila, Ikpeba, Babangida/yaro, etc...

Ilikuwa burudani kwakweli....
 
Zlatan sijaona alichokosea. Kutabasamu tu? Kulikuwa na mbayuwayu mmoja anatabasamu sio tu misibani hata akiwa anafika kileleni wakati wewe na mimi tukiwa tunapiga bao sura zinakuwa chachu kama zimeumbwa kwa zege LA saruji na kokoto
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
All in all what is a team work?
Ni kama gari ili liende ni lazima liwe na mafuta, magurudumu, usukani, dereva, engine na vingine vingi. Kikipungua kimoja gari haliwezi kwenda. Rooney anataka kutuaminisha nini? WAshambuliaji ndio wamefungisha?
 
Namuelewa sana roy keane wachezaji wasikuiz hawaumii sana timu ikipoteza mechi.zamani mechi ya arsenal na manchester ilikuwa ni vita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…