Royal family ya Uingereza wanaishi maisha ya kiafrika

Royal family ya Uingereza wanaishi maisha ya kiafrika

Sesten Zakazaka

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2017
Posts
10,559
Reaction score
19,101
1. Wanaishi pamoja kwenye kasri kama extended family

2. Mtoto anakua ni mtoto tu kwa wazazi na hulelewa kwa uangalizi wa iana tofauti kuanzia
anapozaliwa hadi anapofariki kama mila za kiafrika zinavyoelekeza na sio ile ya kizungu
kwamba baada ya miaka 18 akaangalie maisha kwengine

3. Suala la kuoa au kuolewa ndani ya Royal family linaratibiwa na hasa kuchagua mchumba.
Binti au kijana aweza pata mchumba lakini suala la kuingia kwenye ndoa mpaka mchumba
aidhinishwe na familia japo hili halisemwi wazi

4. Watu wa Royal family wako very ethical na cultured na wanaoingia kama waowaji au
waolewajilazima wafuate na ku practice values za kifalme/malikia. Ndio maana kina Meghan
na Kate wanaacha uhuru wao waliouzoea wa kizungu na kufata kanuni za
uvaaji,utembeaji,ukaaji na hata manners za ulaji za Buckingham Palace

5. Demu muolewaji hakuna kujichanganya hovyo iwe ni kwa wazi au hata kwenye mitandao ya
kijamii. Nadhani hawataki kashfa ya kugongewa


Hayo na mengine mengi ni aina ya maisha wazee wetu na wazazi wetu walikua wakiishi muda mrefu sana kabda ya muingiliano wa tamaduni za kigeni kutoka mbali na kabda ya kutamalaki kwa utandawazi. Royal family ya Uingereza wanayaenzi hadi leo!
 
asante ila ... ile ajal ilikua mbaya polis wa usa walinikamata... kwan we mkuu ulijua ugongaj upi
Uuuuphhh, acha nishushe pumzi ndefu mkuu, maana nilishaenda markiti, penalty imepigwa upande mwingine kipa karuka kwengine....nilijua unaingia kwenye Royal family baada ya kumgonga mwanafamilia
 
ubilionea wao una fika shilingi ngapi za kwao huko duniani??? bora kutafuta mke kwa biligate kuliko kupata fame ktk ukoo wa kifalme... kama hauna njiaa ya kutengeneza pesa
 
ubilionea wao una fika shilingi ngapi za kwao huko duniani??? bora kutafuta mke kwa biligate kuliko kupata fame ktk ukoo wa kifalme... kama hauna njiaa ya kutengeneza pesa
Ubilionea bila uhuru ni utumwa mkuu....lakini pia kuna chakujifunza katika maisha yetu waafrika, sio vyote vibaya
 
1. Wanaishi pamoja kwenye kasri kama extended family

2. Mtoto anakua ni mtoto tu kwa wazazi na hulelewa kwa uangalizi wa iana tofauti kuanzia
anapozaliwa hadi anapofariki kama mila za kiafrika zinavyoelekeza na sio ile ya kizungu
kwamba baada ya miaka 18 akaangalie maisha kwengine

3. Suala la kuoa au kuolewa ndani ya Royal family linaratibiwa na hasa kuchagua mchumba.
Binti au kijana aweza pata mchumba lakini suala la kuingia kwenye ndoa mpaka mchumba
aidhinishwe na familia japo hili halisemwi wazi

4. Watu wa Royal family wako very ethical na cultured na wanaoingia kama waowaji au
waolewajilazima wafuate na ku practice values za kifalme/malikia. Ndio maana kina Meghan
na Kate wanaacha uhuru wao waliouzoea wa kizungu na kufata kanuni za
uvaaji,utembeaji,ukaaji na hata manners za ulaji za Buckingham Palace

5. Demu muolewaji hakuna kujichanganya hovyo iwe ni kwa wazi au hata kwenye mitandao ya
kijamii. Nadhani hawataki kashfa ya kugongewa


Hayo na mengine mengi ni aina ya maisha wazee wetu na wazazi wetu walikua wakiishi muda mrefu sana kabda ya muingiliano wa tamaduni za kigeni kutoka mbali na kabda ya kutamalaki kwa utandawazi. Royal family ya Uingereza wanayaenzi hadi leo!


Umesahau pia namba 6. wanakula nyama ya mtu, iko kwenye damu yao tangia enzi na enzi ni cannibalist pia wanazaliana ndugu kwa ndugu ndo maana Prince Charles yuko kama taahira.
 
Natafuta dem wa royal family..
Hivi hakuna ka manzi pale kwa malkia ambako kana umri falani wa kutafunwa niwahi fursa..maana huku 'into the badlands' hali ni tete
 
Umesahau pia namba 6. wanakula nyama ya mtu, iko kwenye damu yao tangia enzi na enzi ni cannibalist pia wanazaliana ndugu kwa ndugu ndo maana Prince Charles yuko kama taahira.
Kuna siri nyingi na za ajabu kuhusu hii familia ambazo ukiziandika watu watakwambia ni Conspiracy Theories, lakini soma vitabu hata vya fiction vinavoandikwa na wenyewe wazungu utagundua mengi
 
Natafuta dem wa royal family..
Hivi hakuna ka manzi pale kwa malkia ambako kana umri falani wa kutafunwa niwahi fursa..maana huku 'into the badlands' hali ni tete
Wataku Dodi El Fayed ndugu yangu sisi tucheze na hawahawa wa huku Umatumbini
 
Back
Top Bottom