Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Labda ndio source ya hiyo billion 700/- iliyotengwa kuwang'oa wamasai ngorongoro !! Mengine sio agenda za haraka...!!Steringi wa hii filamu alitwambia kuwa punde baada ya uzinduzi tutashuhudia faida mara 7000 ya gharama zilizo tumika kwenye maandalizi yake.
Matokeo yake tunaona mfumuko wa bei ukiongezeka, mwezi wa 7 tarehe 1 tumetangaziwa tozo mpya ya serikali kwenye miamala ya bank itaanza na tayari wafanya biashara wamejipanga kupandisha bei za bidhaa ifikapo mwezi July kutokana na ongezeko la mishahara.
Watumishi wanalia kwa kukusanywa uwanjani na kudanganywa kuhusu maslahi yao kisha wameongezewa vijisenti[emoji23]
Tafadhali ndugu steringi, kama royal tour haita gusa maisha yangu lipa fedha za watu.
😂😂😂😂Labda ndio source ya hiyo billion 700/- iliyotengwa kuwang'oa wamasai ngorongoro !! Mengine sio agenda za haraka...!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wacha tuendelee kuambiwa nchi ipo ktk mikono salama ya mama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anaetekeleza mamno kimkakati na kukopa pesa benki ya duniaSteringi wa hii filamu alitwambia kuwa punde baada ya uzinduzi tutashuhudia faida mara 7000 ya gharama zilizo tumika kwenye maandalizi yake.
Matokeo yake tunaona mfumuko wa bei ukiongezeka, mwezi wa 7 tarehe 1 tumetangaziwa tozo mpya ya serikali kwenye miamala ya bank itaanza na tayari wafanya biashara wamejipanga kupandisha bei za bidhaa ifikapo mwezi July kutokana na ongezeko la mishahara.
Watumishi wanalia kwa kukusanywa uwanjani na kudanganywa kuhusu maslahi yao kisha wameongezewa vijisenti[emoji23]
Tafadhali ndugu steringi, kama royal tour haita gusa maisha yangu lipa fedha za watu.