Royal Tour inatupa deni tusiloliweza

Royal Tour inatupa deni tusiloliweza

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kama mitaa ya nchi ni michafu sana, demokrasia ya uchaguzi bado hatuna, vilio vya katiba havijakoma na wasiojulikana bado hawajakamatwa, je, tunadhani kuwa watalii hawana akili?

Je, wananchi, madereva, waongoza watalii, polisi na watoa huduma kwa watalii wana ufahamu na ujuzi kuhusu watalii wanataka na hawataki nini?

Royal Tour itatulipa? au lazima tumalize kulipa madeni yetu ya usafi, demokrasia, usalama na customer care kwa wateja?
 
UMEAMBIWA SASA HIVI WATALII HAWAJI WE MBULUMUNDU WENZAKO WANATAKA KUONGEZA HARAFU HUJUI KUWA AMAMA ANAUPIGA MWINGI
 
Kama mitaa ya nchi ni michafu sana, demokrasia ya uchaguzi bado hatuna, vilio vya katiba havijakoma na wasiojulikana bado hawajakamatwa, je, tunadhani kuwa watalii hawana akili?

Je, wananchi, madereva, waongoza watalii, polisi na watoa huduma kwa watalii wana ufahamu na ujuzi kuhusu watalii wanataka na hawataki nini?

Royal Tour itatulipa? au lazima tumalize kulipa madeni yetu ya usafi, demokrasia, usalama na customer care kwa wateja?
Huo upuuzi woote ulioandika hakuna ambacho kinamhusu mtalii moja kwa moja.

Watalii wanakuja kuangalia vivutio vya utalii na sio vivutio vya kisiasa.

Wanapotaka ku-book safari wanakwenda kwa travel agents au Tour operators wa nchi zao,na sio kwa Political analysts.

Tanzania ni mojawapo ya nchi zenye wahudumu wa utalii wanaoijua kazi yao vizuri.
Ndio maana tunapata hizo tuzo za kimataifa.

Siasa inaharibu utalii hasa pale vyama au makundi ya wanaharakati wanapotumika kuleta Political unstable kwenye nchi husika.

Chuo cha kwanza cha kitaaluma na chenye kuheshimika kuhusu wanyama pori kiko Tanzania.

'Mweka College Of African Wildlife Management"

Acheni kuichafua nchi ambayo mkishashiba na mkilala ndio nyumbani kwenu.
 
UMEAMBIWA SASA HIVI WATALII HAWAJI WE MBULUMUNDU WENZAKO WANATAKA KUONGEZA HARAFU HUJUI KUWA AMAMA ANAUPIGA MWINGI
wazungu wanatuzomea kwahilo, tunadhani wao hawana taarifa kuwa hatuna uchaguzi huru, tunadhani kuwa hawajui kuwa nguvu ya raia kwenye kisunduku cha kura imeporwa. Watu wetu wanajifanya hawajui kuwa wazungu wana vyama vinavyobadilishana kuingia Ikulu kwa kutumia ballot papers
 
Kama mitaa ya nchi ni michafu sana, demokrasia ya uchaguzi bado hatuna, vilio vya katiba havijakoma na wasiojulikana bado hawajakamatwa, je, tunadhani kuwa watalii hawana akili?

Je, wananchi, madereva, waongoza watalii, polisi na watoa huduma kwa watalii wana ufahamu na ujuzi kuhusu watalii wanataka na hawataki nini?

Royal Tour itatulipa? au lazima tumalize kulipa madeni yetu ya usafi, demokrasia, usalama na customer care kwa wateja?
hapo ni jinsi ya kupiga pesa za umma
 
Huo upuuzi woote ulioandika hakuna ambacho kinamhusu mtalii moja kwa moja.

Watalii wanakuja kuangalia vivutio vya utalii na sio vivutio vya kisiasa.

Wanapotaka ku-book safari wanakwenda kwa travel agents au Tour operators wa nchi zao,na sio kwa Political analysts.

Tanzania ni mojawapo ya nchi zenye wahudumu wa utalii wanaoijua kazi yao vizuri.
Ndio maana tunapata hizo tuzo za kimataifa.

Siasa inaharibu utalii hasa pale vyama au makundi ya wanaharakati wanapotumika kuleta Political unstable kwenye nchi husika.

Chuo cha kwanza cha kitaaluma na chenye kuheshimika kuhusu wanyama pori kiko Tanzania.

'Mweka College Of African Wildlife Management"

Acheni kuichafua nchi ambayo mkishashiba na mkilala ndio nyumbani kwenu.
tuna vivutio vingi sana kuliko nchi yeyote duniani lakini watalii kiduuuchu, royal tour isingekuwepo kama tungekuwa na watalii wengi. Tunashindwa na Rwanda, Kenya, Egypt
 
mtalii gani anapenda mitaa inayonuka? mtalii gani anataka kuporwa pochi na kamera yake? mtalii anapenda kukutana na maandamano ya kudai demokrasia?
 
Huo upuuzi woote ulioandika hakuna ambacho kinamhusu mtalii moja kwa moja.

Watalii wanakuja kuangalia vivutio vya utalii na sio vivutio vya kisiasa.

Wanapotaka ku-book safari wanakwenda kwa travel agents au Tour operators wa nchi zao,na sio kwa Political analysts.

Tanzania ni mojawapo ya nchi zenye wahudumu wa utalii wanaoijua kazi yao vizuri.
Ndio maana tunapata hizo tuzo za kimataifa.

Siasa inaharibu utalii hasa pale vyama au makundi ya wanaharakati wanapotumika kuleta Political unstable kwenye nchi husika.

Chuo cha kwanza cha kitaaluma na chenye kuheshimika kuhusu wanyama pori kiko Tanzania.

'Mweka College Of African Wildlife Management"

Acheni kuichafua nchi ambayo mkishashiba na mkilala ndio nyumbani kwenu.
kwani vikwazo dhidi ya akina Makonda kuingia Marekani vimeshaondolewa? nikumbushe kama nimesahau
 


Nafahamu kubwa huyu mama hatakubali chupli kwenye chaguzi, chawa na walamba asali wajiandae kisaikolojia
 
tuna vivutio vingi sana kuliko nchi yeyote duniani lakini watalii kiduuuchu, royal tour isingekuwepo kama tungekuwa na watalii wengi. Tunashindwa na Rwanda, Kenya, Egypt
Hao watalii watajuaje tuna vivutio vingi bila kuwatangazia?
 
Kama mitaa ya nchi ni michafu sana, demokrasia ya uchaguzi bado hatuna, vilio vya katiba havijakoma na wasiojulikana bado hawajakamatwa, je, tunadhani kuwa watalii hawana akili?

Je, wananchi, madereva, waongoza watalii, polisi na watoa huduma kwa watalii wana ufahamu na ujuzi kuhusu watalii wanataka na hawataki nini?

Royal Tour itatulipa? au lazima tumalize kulipa madeni yetu ya usafi, demokrasia, usalama na customer care kwa wateja?
Umejaza mataka taka tu hapa JF
 
Huo upuuzi woote ulioandika hakuna ambacho kinamhusu mtalii moja kwa moja.

Watalii wanakuja kuangalia vivutio vya utalii na sio vivutio vya kisiasa.

Wanapotaka ku-book safari wanakwenda kwa travel agents au Tour operators wa nchi zao,na sio kwa Political analysts.

Tanzania ni mojawapo ya nchi zenye wahudumu wa utalii wanaoijua kazi yao vizuri.
Ndio maana tunapata hizo tuzo za kimataifa.

Siasa inaharibu utalii hasa pale vyama au makundi ya wanaharakati wanapotumika kuleta Political unstable kwenye nchi husika.

Chuo cha kwanza cha kitaaluma na chenye kuheshimika kuhusu wanyama pori kiko Tanzania.

'Mweka College Of African Wildlife Management"

Acheni kuichafua nchi ambayo mkishashiba na mkilala ndio nyumbani kwenu.

Kapitie travel advisory ya U.S Emnassy Tanzania.
 
Unavyoizungumzia mejaza mataka taka tu hapa JF
Utalii ni zaidi ya kuwa na mbuga na mlima. Hospitality and safety count a lot. DRC wana mbuga kubwa lakini watalii hawapendi. Mifumo yetu ya haki na kidemokrasia ni rahisi sana kuvutia vurugu at any time.

Wakati wanautangaza utalii huko ng'ambo nao wajifunze na kurudi nyumbani na namna ya kuhudumia utawala wa sheria na demokrasia kwa wananchi.
 
Kama mitaa ya nchi ni michafu sana, demokrasia ya uchaguzi bado hatuna, vilio vya katiba havijakoma na wasiojulikana bado hawajakamatwa, je, tunadhani kuwa watalii hawana akili?

Je, wananchi, madereva, waongoza watalii, polisi na watoa huduma kwa watalii wana ufahamu na ujuzi kuhusu watalii wanataka na hawataki nini?

Royal Tour itatulipa? au lazima tumalize kulipa madeni yetu ya usafi, demokrasia, usalama na customer care kwa wateja?
Ukisikia dwarfism kwenye ubongo basi ni kama mtoa mada kavulata . Yaani baada ya kujipanga na fursa zitakazotokana na mafuriko ya watalii, wewe unaanza kuigopa ujio wa watalii.

Wasukuma sijui tuwsdaidie vipi??
 
Kama mitaa ya nchi ni michafu sana, demokrasia ya uchaguzi bado hatuna, vilio vya katiba havijakoma na wasiojulikana bado hawajakamatwa, je, tunadhani kuwa watalii hawana akili?

Royal Tour itatulipa? au lazima tumalize kulipa madeni yetu ya usafi, demokrasia, usalama na customer care kwa wateja?
Hizo mambo, what do they have to do with watalii?!.
P
 
Hizo mambo, what do they have to do with watalii?!.
P
Kama wewe ni mtaalam wa habari unajuwa mengi kuhusu marketing, culture, timing, quality and clarity ni vitu muhimu kwenye kufanikisha biashara:

1. culture: Unapokwenda kutafuta wateja/habari sehemu fulani lazima uzingatie utamaduni wa sehemu ile. Royal tour imekwenda kuzinduliwa Marekani, jee, wamarekani wana utamaduni gani kwenye mavazi, dini, siasa, demokrasia, lugha na tabia zao? Je, alivyovaa Mama Wamarekani vinawavutia au angevaa kama wao au kitalii?, je, siasa za Tanzania zinawavutia Wamarekani?, nk.

2. Timing: Tanzania tuna watalii ambao wamekwama kurudi kwao kwasababu ya Vita ya Ukraine mpaka sasa wapo. Dunia nzima focus yao kwa sasa hivi imeelekea kwenye vita ya Ukraine na urusi, maisha yamepanda na uchumi wa dunia unashuka kote duniani ikiwemo marekani. Je, huu ni muda mwafaka kwa sisi kwenda kutangaza utalii Marekani?, Kama Marekani ndiyo mfadhili mkuu wa Ukraine kwenye vita yake na Urusi, je kwenda marekani kipindi hiki cha vita kutangaza utalii wetu kunauweka wapi uhusiano wa Tanzania na Urusi, Belarus, N.Korea na pro-Russia wote kwenye mzozo huu?

3. Quality: Je, viwango vya huduma zetu za utalii vinalingana na expectations zao? ni kama za mshindani wetu yupi?, rule of law and democracy ipo.

Clarity: Je, tuyoyasema kwenye royal tour tunayaishi, ni kweli tuko na iko hivyo? tunaeleweka? wanatuelewa? tunaaminika? hatugeukigeuki? leo ni kama kesho au kisho ina mambo yake?

Maswali haya yalipaswa kuulizwa na watanzania wote na kujibiwa na Wizara ya maliasili na utalii na washauri wa mama wote.
 
Ukisikia dwarfism kwenye ubongo basi ni kama mtoa mada kavulata . Yaani baada ya kujipanga na fursa zitakazotokana na mafuriko ya watalii, wewe unaanza kuigopa ujio wa watalii.

Wasukuma sijui tuwsdaidie vipi??
Ni mpumbavu tu anaeweza kufurahia pizza tamu kwenye sahani chafu.
 
Back
Top Bottom