Huo upuuzi woote ulioandika hakuna ambacho kinamhusu mtalii moja kwa moja.Kama mitaa ya nchi ni michafu sana, demokrasia ya uchaguzi bado hatuna, vilio vya katiba havijakoma na wasiojulikana bado hawajakamatwa, je, tunadhani kuwa watalii hawana akili?
Je, wananchi, madereva, waongoza watalii, polisi na watoa huduma kwa watalii wana ufahamu na ujuzi kuhusu watalii wanataka na hawataki nini?
Royal Tour itatulipa? au lazima tumalize kulipa madeni yetu ya usafi, demokrasia, usalama na customer care kwa wateja?
wazungu wanatuzomea kwahilo, tunadhani wao hawana taarifa kuwa hatuna uchaguzi huru, tunadhani kuwa hawajui kuwa nguvu ya raia kwenye kisunduku cha kura imeporwa. Watu wetu wanajifanya hawajui kuwa wazungu wana vyama vinavyobadilishana kuingia Ikulu kwa kutumia ballot papersUMEAMBIWA SASA HIVI WATALII HAWAJI WE MBULUMUNDU WENZAKO WANATAKA KUONGEZA HARAFU HUJUI KUWA AMAMA ANAUPIGA MWINGI
hapo ni jinsi ya kupiga pesa za ummaKama mitaa ya nchi ni michafu sana, demokrasia ya uchaguzi bado hatuna, vilio vya katiba havijakoma na wasiojulikana bado hawajakamatwa, je, tunadhani kuwa watalii hawana akili?
Je, wananchi, madereva, waongoza watalii, polisi na watoa huduma kwa watalii wana ufahamu na ujuzi kuhusu watalii wanataka na hawataki nini?
Royal Tour itatulipa? au lazima tumalize kulipa madeni yetu ya usafi, demokrasia, usalama na customer care kwa wateja?
tuna vivutio vingi sana kuliko nchi yeyote duniani lakini watalii kiduuuchu, royal tour isingekuwepo kama tungekuwa na watalii wengi. Tunashindwa na Rwanda, Kenya, EgyptHuo upuuzi woote ulioandika hakuna ambacho kinamhusu mtalii moja kwa moja.
Watalii wanakuja kuangalia vivutio vya utalii na sio vivutio vya kisiasa.
Wanapotaka ku-book safari wanakwenda kwa travel agents au Tour operators wa nchi zao,na sio kwa Political analysts.
Tanzania ni mojawapo ya nchi zenye wahudumu wa utalii wanaoijua kazi yao vizuri.
Ndio maana tunapata hizo tuzo za kimataifa.
Siasa inaharibu utalii hasa pale vyama au makundi ya wanaharakati wanapotumika kuleta Political unstable kwenye nchi husika.
Chuo cha kwanza cha kitaaluma na chenye kuheshimika kuhusu wanyama pori kiko Tanzania.
'Mweka College Of African Wildlife Management"
Acheni kuichafua nchi ambayo mkishashiba na mkilala ndio nyumbani kwenu.
kwani vikwazo dhidi ya akina Makonda kuingia Marekani vimeshaondolewa? nikumbushe kama nimesahauHuo upuuzi woote ulioandika hakuna ambacho kinamhusu mtalii moja kwa moja.
Watalii wanakuja kuangalia vivutio vya utalii na sio vivutio vya kisiasa.
Wanapotaka ku-book safari wanakwenda kwa travel agents au Tour operators wa nchi zao,na sio kwa Political analysts.
Tanzania ni mojawapo ya nchi zenye wahudumu wa utalii wanaoijua kazi yao vizuri.
Ndio maana tunapata hizo tuzo za kimataifa.
Siasa inaharibu utalii hasa pale vyama au makundi ya wanaharakati wanapotumika kuleta Political unstable kwenye nchi husika.
Chuo cha kwanza cha kitaaluma na chenye kuheshimika kuhusu wanyama pori kiko Tanzania.
'Mweka College Of African Wildlife Management"
Acheni kuichafua nchi ambayo mkishashiba na mkilala ndio nyumbani kwenu.
Hao watalii watajuaje tuna vivutio vingi bila kuwatangazia?tuna vivutio vingi sana kuliko nchi yeyote duniani lakini watalii kiduuuchu, royal tour isingekuwepo kama tungekuwa na watalii wengi. Tunashindwa na Rwanda, Kenya, Egypt
Umejaza mataka taka tu hapa JFKama mitaa ya nchi ni michafu sana, demokrasia ya uchaguzi bado hatuna, vilio vya katiba havijakoma na wasiojulikana bado hawajakamatwa, je, tunadhani kuwa watalii hawana akili?
Je, wananchi, madereva, waongoza watalii, polisi na watoa huduma kwa watalii wana ufahamu na ujuzi kuhusu watalii wanataka na hawataki nini?
Royal Tour itatulipa? au lazima tumalize kulipa madeni yetu ya usafi, demokrasia, usalama na customer care kwa wateja?
Huo upuuzi woote ulioandika hakuna ambacho kinamhusu mtalii moja kwa moja.
Watalii wanakuja kuangalia vivutio vya utalii na sio vivutio vya kisiasa.
Wanapotaka ku-book safari wanakwenda kwa travel agents au Tour operators wa nchi zao,na sio kwa Political analysts.
Tanzania ni mojawapo ya nchi zenye wahudumu wa utalii wanaoijua kazi yao vizuri.
Ndio maana tunapata hizo tuzo za kimataifa.
Siasa inaharibu utalii hasa pale vyama au makundi ya wanaharakati wanapotumika kuleta Political unstable kwenye nchi husika.
Chuo cha kwanza cha kitaaluma na chenye kuheshimika kuhusu wanyama pori kiko Tanzania.
'Mweka College Of African Wildlife Management"
Acheni kuichafua nchi ambayo mkishashiba na mkilala ndio nyumbani kwenu.
Utalii ni zaidi ya kuwa na mbuga na mlima. Hospitality and safety count a lot. DRC wana mbuga kubwa lakini watalii hawapendi. Mifumo yetu ya haki na kidemokrasia ni rahisi sana kuvutia vurugu at any time.Unavyoizungumzia mejaza mataka taka tu hapa JF
Ukisikia dwarfism kwenye ubongo basi ni kama mtoa mada kavulata . Yaani baada ya kujipanga na fursa zitakazotokana na mafuriko ya watalii, wewe unaanza kuigopa ujio wa watalii.Kama mitaa ya nchi ni michafu sana, demokrasia ya uchaguzi bado hatuna, vilio vya katiba havijakoma na wasiojulikana bado hawajakamatwa, je, tunadhani kuwa watalii hawana akili?
Je, wananchi, madereva, waongoza watalii, polisi na watoa huduma kwa watalii wana ufahamu na ujuzi kuhusu watalii wanataka na hawataki nini?
Royal Tour itatulipa? au lazima tumalize kulipa madeni yetu ya usafi, demokrasia, usalama na customer care kwa wateja?
Eee we utakuwa muasisi wa Umoja PatiUkisikia dwarfism kwenye ubongo basi ni kama mtoa mada kavulata . Yaani baada ya kujipanga na fursa zitakazotokana na mafuriko ya watalii, wewe unaanza kuigopa ujio wa watalii.
Wasukuma sijui tuwsdaidie vipi??
Hizo mambo, what do they have to do with watalii?!.Kama mitaa ya nchi ni michafu sana, demokrasia ya uchaguzi bado hatuna, vilio vya katiba havijakoma na wasiojulikana bado hawajakamatwa, je, tunadhani kuwa watalii hawana akili?
Royal Tour itatulipa? au lazima tumalize kulipa madeni yetu ya usafi, demokrasia, usalama na customer care kwa wateja?
Kama wewe ni mtaalam wa habari unajuwa mengi kuhusu marketing, culture, timing, quality and clarity ni vitu muhimu kwenye kufanikisha biashara:Hizo mambo, what do they have to do with watalii?!.
P