Royal Tour inavyoleta neema nchini

Royal Tour inavyoleta neema nchini

Rashda Zunde

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2022
Posts
204
Reaction score
231
Baada ya uzinduzi wa Filamu ya The Royal Tour, watalii na wawekezaji katika sekta ya utalii wameongezeka kwa mujibu wa hoteli za kitalii Dar es Salaam ongezeko la wageni limefika asilimia 280 na Arusha asilimia 340.

Kwa upande wa viwanja vya ndege miruko imeongezeka ikiwamo ndege zinazoingia nchini.

Kuanzia Juni mwaka jana na sasa mashirika mengi yameongeza miruko ya ndege hapa nchini. Kwa mfano Shirika la Ndege la Oman miruko imeongezeka kutoka 2 hadi 7 kwa wiki, Kenya (19-22), Shirika la Ndege la Emirate (4-7), Uturuki (4-7).
ikulu_mawasiliano-photo-2021_12_23_21_47.jpg
 
Hii ni habari njema kwa sisi wazalendo wa taifa hili, na ni msumali wa moto makalioni kwa wale wanaharakati koko, mazuzu na wale jamaa zao wanaojiita "TUTA yani kurefu chake "Tupambane na Tanzania". Hawa jamaa wa TUTA wengi wao ni wale wamasai wa mchongo kutoka nchi jirani waliokuwa wanaitumia nchi yetu kama shamba la bibi la kulimia mazao yao na kulishia mifugo yao. Sasa wameamua kutangaza vita kwa njia ya propaganda mbali mbali huku wakiunda hilo kundi lao wanaloliita TUTA kifupi cha neno :Tupambane na Tanzania" kisa tu serikali yetu imeingilia masilahi yao katika ardhi yetu.
 
Kujilinganisha na mwaka jana ni kujilisha upepo....
 
Royal Tour ndio nini sasa?wamasai wanahamishwa huko ngorongoro..nadhani hiyo ndio matunda ya Royal tour
 
Ushamba Mzigo.Kanda ya Kaskazini Utalii huu ndio wakati wake.
 
Back
Top Bottom