Royal Tour: Kwanini Rais Samia asingewapa Watanzania wenye ushawishi kufanya kazi hii?

Royal Tour: Kwanini Rais Samia asingewapa Watanzania wenye ushawishi kufanya kazi hii?

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Maisha haya ni mazuri na kwa wengine ni machungu.

Machungu tuliyonayo sijui yeye kwake ni mazuri.

Mama sasa rasmi naye anatengeneza dokumentari yake ya utalii, sijui ya nini.

Lakini je, hafahamu kuwa yeye ni Rais na muda anaotumia kwenda huku na kule kuna gharama za kila alipo.

Kwanini asinge wapa watu wenye ushawishi mfano Watanzania wanaokaa nje, watu wakubwa kama wafanyabiashara, wanamichezo na wasanii japo siwafagilii sana.

Mimi naona ingekuwa vizuri kipindi umemaliza mda wako na si Rais tena, hapo unaweza kufanya haya japo mwenyewe unafikiri ni faida.
 
Maisha haya ni mazuri na kwa wengine ni machungu.

Machungu tuliyonayo sijui yeye kwake ni mazuri.

Mama sasa rasmi naye anatengeneza dokumentari yake ya utalii, sijui ya nini.

Lakini je, hafahamu kuwa yeye ni Rais na muda anaotumia kwenda huku na kule kuna gharama za kila alipo.

Kwanini asinge wapa watu wenye ushawishi mfano Watanzania wanaokaa nje, watu wakubwa kama wafanyabiashara, wanamichezo na wasanii japo siwafagilii sana.

Mimi naona ingekuwa vizuri kipindi umemaliza mda wako na si Rais tena, hapo unaweza kufanya haya japo mwenyewe unafikiri ni faida.
Kwa sababu marais wa nchi husika ndio walengwa sio watu maarufu unaowataka.
Screenshot_20210902-190957.jpg
 
Maisha haya ni mazuri na kwa wengine ni machungu.

Machungu tuliyonayo sijui yeye kwake ni mazuri.

Mama sasa rasmi naye anatengeneza dokumentari yake ya utalii, sijui ya nini.

Lakini je, hafahamu kuwa yeye ni Rais na muda anaotumia kwenda huku na kule kuna gharama za kila alipo.

Kwanini asinge wapa watu wenye ushawishi mfano Watanzania wanaokaa nje, watu wakubwa kama wafanyabiashara, wanamichezo na wasanii japo siwafagilii sana.

Mimi naona ingekuwa vizuri kipindi umemaliza mda wako na si Rais tena, hapo unaweza kufanya haya japo mwenyewe unafikiri ni faida.
Ndio kusema Rais hana ushawishi, au?
 
Anavyopenda kuzurura kama yale Mapaka yasiyofugwa hawezi kuwapa Watanzania wengine hiyo kazi.
 
Kwani Rais wetu sio mtanzania mwenye ushawishi mkuu, sio kwamba yeye ndio mtanzania mwenye ushawishi mkuu kwa sasa nchini, lakini na wewe baan, kwahiyo unaamini watanzana wanaokaa nje wana ushawishi sana eeenh? Bora usingewaweka katika mifano yako aisee.
 
Kwa hilo amtafute someone ex minister of tourism 😁😁😁
 
Maisha haya ni mazuri na kwa wengine ni machungu.

Machungu tuliyonayo sijui yeye kwake ni mazuri.

Mama sasa rasmi naye anatengeneza dokumentari yake ya utalii, sijui ya nini.

Lakini je, hafahamu kuwa yeye ni Rais na muda anaotumia kwenda huku na kule kuna gharama za kila alipo.

Kwanini asinge wapa watu wenye ushawishi mfano Watanzania wanaokaa nje, watu wakubwa kama wafanyabiashara, wanamichezo na wasanii japo siwafagilii sana.

Mimi naona ingekuwa vizuri kipindi umemaliza mda wako na si Rais tena, hapo unaweza kufanya haya japo mwenyewe unafikiri ni faida.
Mi nashauri tu hiyo documentary ikitoka, wanaohusika wakae waisikilize tena na tena kabla haijaingia sokoni.Yasije tokea Yale ya Mahojiano na Salim kikeke wa BBC.
 
Back
Top Bottom