Baba Sangara
JF-Expert Member
- Dec 16, 2007
- 293
- 154
BBC News - Ireland 'close to oil billions'
What is wrong with us?
Extracts...
......However, campaigners have said that Ireland's relaxed laws with regard to its natural resources ought to be overhauled.
Ireland takes 25% of all profits, rising to 40% depending on the volume extracted.
Ireland's Energy Minister Pat Rabbitte concedes that the take is much lower than in the UK, or Norway, both of which have much greater resources of oil and gas......
Watu wanapotoshwa na wana harakati na wao bila kufikiria wana meza kila wanachoambiwa. 3% ni mrabaha tu. Ni 3% ya mauzo kabla ya kutoa kodi na gharama za uendeshaji.mleta mada kila nchi ina utaratibu wake katika kukusanya mapato mradi tu sheria za kodi zizingatiwe. Tz mrabaha ni 4% lakini pia wanalipa corparate tax 30% on prifit, wanalipa withholding tax, income tax na VAT kwa mafuta yatumikayo kwa magari madogo LV, development skill levy wanalipa kifupi ukijumuisha zote ni zaidi ya 48% ya mapato yao TZ inapata. soma kodi zinazotozwa kwenye biashara hiyo
BBC News - Ireland 'close to oil billions'
What is wrong with us?
Extracts...
......However, campaigners have said that Ireland's relaxed laws with regard to its natural resources ought to be overhauled.
Ireland takes 25% of all profits, rising to 40% depending on the volume extracted.
Ireland's Energy Minister Pat Rabbitte concedes that the take is much lower than in the UK, or Norway, both of which have much greater resources of oil and gas......
bhageshi... tuko familiar na hizo corporate tax, witholding taxes and all the loop holes that come with it.... So what is the big fuss about raising it from 3% to 4% then?..Sidahani Ireland wanalipa hizo 40% halafu wako exempt from income taxes etc etc?mleta mada kila nchi ina utaratibu wake katika kukusanya mapato mradi tu sheria za kodi zizingatiwe. Tz mrabaha ni 4% lakini pia wanalipa corparate tax 30% on prifit, wanalipa withholding tax, income tax na VAT kwa mafuta yatumikayo kwa magari madogo LV, development skill levy wanalipa kifupi ukijumuisha zote ni zaidi ya 48% ya mapato yao TZ inapata. soma kodi zinazotozwa kwenye biashara hiyo
Sie corporate tax yetu ni 30% ambayo hawalipi hadi warudishe mtaji wao...
umeshawahi kusikia kuna anayerudisha mtaji wake??
wanatuibia tu