Kabla hatuhukumu tunatakiwa kuangalia trend. Nitawakumbusha....Ni kweli hajampost hawa wamarekani wana dharau sana, ila hii haijamtokea Diamond tu hata Davido alipofanya collabo na Meek Mill hakuipost wala kumpa support yoyote. Mnyama Drake naonaga ndio anajitahidi kutoa support kwa wasanii wa Africa pamoja na kuwa yuko juu kuliko hao kina Rozay
Watu wanachosahau hapa ni kwamba release ya ngoma ya Diamond ilifuatana na kifo cha Black Bo, Meneja wa RickRoss. Na tangu kutokea kifo cha Black Bo, RickRoss hajawahi ku-post chochote mbalimbali na habari za hicho kifo!! In short, jamaa anaomboleza huku watu tukihoji kwanini ha-post wimbo wa Diamond!!Ku post au kuto post inaweza kuwa na mantiki kutegemea na namna mtu anavyojisikia.
Ni mara kadhaa sasa Rozay amekuwa hapost hata nyimbo zake binafsi anazotoa.
Tumeshuhudia wimbo wake mpya wa 'Tiptoe' amekuwa hapost kabisa.
Na si nyimbo zake tu hata za wasanii wake pia.
Hivi vifo vyote ambavyo tuna-post na kutoa RIP wahusika tunawafahamu?! Licha ya kwamba Diamond na Black Bo wameshawahi kukutana; hivi hata kama ingekuwa hawajawahi kukutana, hudhani kufahamiana kwa Diamond na RickRoss kulitosha kabisa Diamond kuonesha support kwa RickRoss? Btw, RickRoss kuna chochote alichowahi ku-post tangu kutokea kwa kifo cha Black Bo mbali na habari zinazohusiana na Black Bo?! Au kwa akili yenu mnadhani Wamarekani hawaumii au hawaombolezi wanapoondokewa na watu wao wa karibu?!kuna mshirika na mdau mkubwa wa rozay anaefahamika kama black bomaybach alifariki hapa majuzi, fasta diamond naona kapost r.i.p bro, hivi kweli kulikua na ukaribu wa dai na blackbomay kiasi kwamba angempost ? Au jamaa anatafuta ujiko ?
wenye timu yao mnatakuja kuniattack, sina team just nmeamua kushare tu
rich babe ameongea!Rick Ross apost huo wimbo ili iweje?
Kwanza ni nani Marekani anaujua huo wimbo?
Urban station ipi ambao huo wimbo upo kwenye rotation?
Rick Ross wala hahitaji kabisa kuu promote huo wimbo.
Huo wimbo mnaushobokea huku tu kwa sababu ya huyo Rick Ross.
Mngejua jinsi Wamarekani wasivyojua chochote na wasivyo na raghba na miziki wa kwingineko wala msingehoji.
rich babe ameongea!
Basi mkuu watu wa Madale wanadhani huo wimbo huko Marekani unatamba kweli kweliRick Ross apost huo wimbo ili iweje?
Kwanza ni nani Marekani anaujua huo wimbo?
Urban station ipi ambao huo wimbo upo kwenye rotation?
Rick Ross wala hahitaji kabisa kuu promote huo wimbo.
Huo wimbo mnaushobokea huku tu kwa sababu ya huyo Rick Ross.
Mngejua jinsi Wamarekani wasivyojua chochote na wasivyo na raghba na miziki wa kwingineko wala msingehoji.
miss u big time babeBaby J.....
miss u big time babe
Basi mkuu watu wa Madale wanadhani huo wimbo huko Marekani unatamba kweli kweli
Diamond followers wake wengi wapo based Tanzania na East Africa wakati Rick Ross followers wake wengi ni world wide hiyo ndo tofauti.
Kuna vitu viwili vinaendesha music hasa hizi mishe za kupost au kutokupost.Ni kweli hajampost hawa wamarekani wana dharau sana, ila hii haijamtokea Diamond tu hata Davido alipofanya collabo na Meek Mill hakuipost wala kumpa support yoyote. Mnyama Drake naonaga ndio anajitahidi kutoa support kwa wasanii wa Africa pamoja na kuwa yuko juu kuliko hao kina Rozay
ni kweli mkuuNi kweli hajampost hawa wamarekani wana dharau sana, ila hii haijamtokea Diamond tu hata Davido alipofanya collabo na Meek Mill hakuipost wala kumpa support yoyote. Mnyama Drake naonaga ndio anajitahidi kutoa support kwa wasanii wa Africa pamoja na kuwa yuko juu kuliko hao kina Rozay
una uhakika na unachosema mkuu ? au just umeona ucomment tu
Nani kakulisha hyo matango pori
una uhakika na unachosema mkuu ? au just umeona ucomment tu
mnasoma sentensi mbili za kwanza povu linawatoka hamkuiona [winkππ] mwisho its a joke man!..Nani kakulisha hyo matango pori