kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Naona juhudi kubwa ukarabati miundombinu Hifadhi ya Ngorongoro, hadi wameomba jeshi lisaidie kwa dharula baadhi maeneo.Nguvu ya media ni kubwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani sisi tuna angalia kwa upande wetu na wao wana angalia kwa upande wao,laiti soote tungeangalia upande mmoja,sasa hivi ie 2020 tungekuwa mbali tena mbali saaana.
Tuekekeze mikono yetu juu kumuomba ALLAH atujaalie tuwe wamoja na tutofautiane kina mawazo kwa lengo la kujenga na siyo kubomoa
Sent using Jamii Forums mobile app
"Mkishamaliza kufurikafurika huko mje tuwapige bei kwenye viazi, mihogo na mahindi".-mwisho wa kunukuu
Dana kantrii
Naona juhudi kubwa ukarabati miundombinu Hifadhi ya Ngorongoro, hadi wameomba jeshi lisaidie kwa dharula baadhi maeneo.Nguvu ya media ni kubwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu inashangaza kusikia mkubwa mmoja, badala ya kupongeza wazalendo wa aina hiyo waliofichua hali mbaya kiasi hicho cha barabara, badala yake "anaropoka" kuwa eti wanaopiga picha za aina hiyo na kuzirusha mitandaoni, wasakwe na wakipatikana watafunguliwa kesi za kuhujumu uchumi!