RPC Mstaafu Rwambo: Ni Haki ya Mwananchi kujua kwanini anakamatwa na Polisi ni lazima ajieleze anatokea Kituo gani

RPC Mstaafu Rwambo: Ni Haki ya Mwananchi kujua kwanini anakamatwa na Polisi ni lazima ajieleze anatokea Kituo gani

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
RPC Mstaafu Mh Jamal Rwambo amesema kabla hajakamatwa Mwananchi ana Haki ya kujua kwanini anakamatwa

Aidha Polisi mkamataji ni lazima ajitambulishe na kueleza kituo Cha Polisi anachotoka

Rwambo amesema hata kwenye upekuzi ni lazima wawepo mashahidi wa kushuhudia zoezi la upekuzi

Haikubaliki Mtu kuja Kibabe tu na kuanza kumkamata Mtu bila kufuata kanuni na taratibu za ukamataji


Mlale Unono 😀
 
Huo ndio usahihi....

Hizo ndizo taratibu....

Hiyo ndiyo PGO.....

#Nchi Kwanza😍
 
Wakiwa nje ya system ndiyo wanafunguka! Sijui huyo RPC mstaafu alistaafu awamu ipi?
 
Mzee keshastaafu sa hv anatambua sheria ni nini ukute na yeye back in days alivyokua kitengo akikua km akina muliro tu
Namjua Rwambo tangu akiwa OCID Njombe hadi RPC Oyster bay ni Jamaa mmoja Safi sana 😂

Ungekuwa wa hapa Mjini ungelijua kipindi chake Cha Michezo na akina Kipenka na Mzee wa Bao Likwepa wa Kariakoo 😄😄
 
Maadili ya polisi hayafuatwi kwansababu za kiasisa, polisi ni watu wema sana ila siasa zilivyo ingilia ndio inaonekana ni wabaya kuliko hata ubaya wenyewe.
Na huwa nawaambia ndugu zangu cdm na wanaharakati wengine.
Kuwasimanga polisi kwa jambo lolote ni kuhamisha goli na kupigana na kivuli cha adui,hali hii hutengeneza adui asiye wa msingi na kumwacha adui wa msingi,chama twawala wanajua mbinu hii.

Kwa sasa huu uhuni unaoendelea unapewa sticker ya polisi makusudi kabisa kimkakati.
 
RPC Mstaafu Mh Jamal Rwambo amesema kabla hajakamatwa Mwananchi ana Haki ya kujua kwanini anakamatwa

Aidha Polisi mkamataji ni lazima ajitambulishe na kueleza kituo Cha Polisi anachotoka

Rwambo amesema hata kwenye upekuzi ni lazima wawepo mashahidi wa kushuhudia zoezi la upekuzi

Haikubaliki Mtu kuja Kibabe tu na kuanza kumkamata Mtu bila kufuata kanuni na taratibu za ukamataji

Source: East Africa Radio

Mlale Unono 😀
Hawa mapolisi hata sio wa kuwaamini wanapata akili wakisha staafu. Hata huyo ni walele
 
Katiba mpya ndiyo mwarobaini. Mengine ni hadithi tuu. Jiulize kiongozi wa ccm anasema anaongea na naibu waziri waliokamatwa mbeya waachiwe😭😭😭😭
 
RPC Mstaafu Mh Jamal Rwambo amesema kabla hajakamatwa Mwananchi ana Haki ya kujua kwanini anakamatwa

Aidha Polisi mkamataji ni lazima ajitambulishe na kueleza kituo Cha Polisi anachotoka

Rwambo amesema hata kwenye upekuzi ni lazima wawepo mashahidi wa kushuhudia zoezi la upekuzi

Haikubaliki Mtu kuja Kibabe tu na kuanza kumkamata Mtu bila kufuata kanuni na taratibu za ukamataji

Source: East Africa Radio

Mlale Unono 😀
🤣🤣🤣Apa bongo utasikia twende utajua huko huko huu sini uonevu kabisa hivi kale kamfumo kakusachiwa nani alikaleta maana inatakiwa mionyeshe Mimi mwananchi sasa wakusachi wao utakuta puri la bangi limo uku huvuti🤔🤔
 
Nadhani tuanze kujilinda wenyewe,kama unahisi unafatiliwa UMUGHAKA tafuta bisibisi yako au kisu kizuri kaa nacho kiunoni,mtu akija haeleweki eti anataka kukuhoji bora mmalizane mapema kuliko kwenda kukumaliza huko
 
Nadhani tuanze kujilinda wenyewe,kama unahisi unafatiliwa UMUGHAKA tafuta bisibisi yako au kisu kizuri kaa nacho kiunoni,mtu akija haeleweki eti anataka kukuhoji bora mmalizane mapema kuliko kwenda kukumaliza huko
Usikirizwe 👊
 
Back
Top Bottom