MAJIYAPWANI
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,726
- 2,691
Mie mjini kitamboNamjua Rwambo tangu akiwa OCID Njombe hadi RPC Oyster bay ni Jamaa mmoja Safi sana π
Ungekuwa wa hapa Mjini ungelijua kipindi chake Cha Michezo na akina Kipenka na Mzee wa Bao Likwepa wa Kariakoo ππ
Bahati nzuri au mbaya ni kwamba,hao wanawake nilishawapa Taarifa mapema sana!Nadhani tuanze kujilinda wenyewe,kama unahisi unafatiliwa UMUGHAKA tafuta bisibisi yako au kisu kizuri kaa nacho kiunoni,mtu akija haeleweki eti anataka kukuhoji bora mmalizane mapema kuliko kwenda kukumaliza huko
Hizo ndiyo taratibu za kawaida kabisa, hata ndani ya GPO za Polisi zimeelezwa waziwazi.RPC Mstaafu Mh Jamal Rwambo amesema kabla hajakamatwa Mwananchi ana Haki ya kujua kwanini anakamatwa
Aidha Polisi mkamataji ni lazima ajitambulishe na kueleza kituo Cha Polisi anachotoka
Rwambo amesema hata kwenye upekuzi ni lazima wawepo mashahidi wa kushuhudia zoezi la upekuzi
Haikubaliki Mtu kuja Kibabe tu na kuanza kumkamata Mtu bila kufuata kanuni na taratibu za ukamataji
Source: East Africa Radio
Mlale Unono π
Tengenezeni Sheria inayotoa Adhabu Kali, Kwa Askari ambaye hatataka kujitamburisha wakati wa ukamataji.RPC Mstaafu Mh Jamal Rwambo amesema kabla hajakamatwa Mwananchi ana Haki ya kujua kwanini anakamatwa
Aidha Polisi mkamataji ni lazima ajitambulishe na kueleza kituo Cha Polisi anachotoka
Rwambo amesema hata kwenye upekuzi ni lazima wawepo mashahidi wa kushuhudia zoezi la upekuzi
Haikubaliki Mtu kuja Kibabe tu na kuanza kumkamata Mtu bila kufuata kanuni na taratibu za ukamataji
Source: East Africa Radio
Mlale Unono π
Sasa ndiyo mjuwe,kumbe wale hawakua askari na ndiyo maana hawakuzingatia PGO, wale walikua ni wahuni tu waliochukulia advantage ya upole wa watanzania ya kutii mamlaka bila shuruti!!Huo ndio usahihi....
Hizo ndizo taratibu....
Hiyo ndiyo PGO.....
#Nchi Kwanza[emoji7]
Sidhani kama mtu/polisi mwema hafuati maadili ya kazi na utu hata kama anashinikizwa kutenda jinai.Na haiwezekani kufanya jinai/utesaji na mauaji ili kufurahisha genge la wahuni na ukajiita muadilifu.Hao ni majahil wenye nia ovu tu.Hakuna cha kuwaremba au kuwakwepesha na jinai/uuaji.Maadili ya polisi hayafuatwi kwansababu za kiasisa, polisi ni watu wema sana ila siasa zilivyo ingilia ndio inaonekana ni wabaya kuliko hata ubaya wenyewe.
Yeye alipokuwa ofisini alikuwa anayasimamia hayo? Au anajipayukia tuu kisa mtaafi hana wajibu wa Moja kwa Moja?RPC Mstaafu Mh Jamal Rwambo amesema kabla hajakamatwa Mwananchi ana Haki ya kujua kwanini anakamatwa
Aidha Polisi mkamataji ni lazima ajitambulishe na kueleza kituo Cha Polisi anachotoka
Rwambo amesema hata kwenye upekuzi ni lazima wawepo mashahidi wa kushuhudia zoezi la upekuzi
Haikubaliki Mtu kuja Kibabe tu na kuanza kumkamata Mtu bila kufuata kanuni na taratibu za ukamataji
Source: East Africa Radio
Mlale Unono π
Kwa hiyo Kingai hakuwa Polisi??? Fikiria kabla ya kupost.Na huwa nawaambia ndugu zangu cdm na wanaharakati wengine.
Kuwasimanga polisi kwa jambo lolote ni kuhamisha goli na kupigana na kivuli cha adui,hali hii hutengeneza adui asiye wa msingi na kumwacha adui wa msingi,chama twawala wanajua mbinu hii.
Kwa sasa huu uhuni unaoendelea unapewa sticker ya polisi makusudi kabisa kimkakati.
Wewe ukijua sheria inakusaidia nini ikiwa msimamizi wa sheria ndiye mvunja sheria? Unachokijua wewe na anachokisema huyo polisi mstaafu ni tofauti na hali halisi unayoweza kukutana nayo unapokuwa mbele ya polisi. Wale wafanyabiashara wa madini toka Mahenge Morogoro waliouawa na polisi na watanzania wakaambiwa walikuwa ni majambazi hadi ndugu zao walipoomba msaada kwa rais Kikwete na tume huru ikaundwa kuchunguza sakata lile na ikabainika hawakuwa majambazi unadhani hata wangekijua hicho unachodhani wengi hawakijui ingesaidia nini?Ndio shida yetu watanzania mada kama hizi za elimu ya jamii kuhusu haki raia kwenye ukamataji. Hatutaki kuchangia na kujifunza si ajabu wangeingia ma-afande wa JF na ku-extend statement ya boss wao kwa kina zaidi upate somo la bure siku ukikakatwa hasa kwenye kadamnasi ujue cha kufanya.
Ngoja sasa waambiwe kuna vocha za bure za tsh 1000 au story za uchawi lisaa limoja utakuta mada Ina views 10,000 michango elfu kadhaa.
Ukweli ni kwamba watanzania wengi ni bure kabisa
Soma tena nilichoandika wacha haraka kwenye haya maisha itakusaidia.Kwa hiyo Kingai hakuwa Polisi??? Fikiria kabla ya kupost.
We bwege askari huwa haachi majukumuYeye alipokuwa ofisini alikuwa anayasimamia hayo? Au anajipayukia tuu kisa mtaafi hana wajibu wa Moja kwa Moja?
Saivi ni kukaa kwa step tu kujiandaa kutimua mbio ukiwaona wasiojulikana ni ππππ΄π΄π΄