Hamjaelewa,hii kauli ya RPC ni matokeo ya liberalization ya madam president kuwataka watende haki.kamanda ni msomi mkubwa anaongea philosophically.anaiita jamii iwe karibu na Police maana Tanzania ya Sasa siyo ya mwaka ule.
Ki MSINGI mama anaitafuta haki,maana haki huinua taifa.na watendaji wake wanafuata nyayo za mama.period.