DOKEZO RPC wa Dodoma msaidie huyu Katibu Mkuu wa Kanisa la Pentekoste, atauawa!

DOKEZO RPC wa Dodoma msaidie huyu Katibu Mkuu wa Kanisa la Pentekoste, atauawa!

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Nina ombi kwa RPC wa Dodoma, msaidie huyu Katibu Mkuu wa Kanisa la Pentekoste atafilisika na kuuawa. Tatizo hili lilianza mwaka 2021, Baada ya Kiongozi huyo wa dhehebu la Pentekoste kuingia makubaliano ya ujenzi na kampuni ya one 2 one focus. Wakaingia makubaliano ya kujengewa nyumba hapo Dodoma kwa kiasi Cha milioni mia moja na sabini 170,000,000 Tshs.

Aliyekuwa anasimamia huo ujenzi ni mtu mmoja anaitwa McEglon Rweyemamu. Huyo McEglon Rweyemamu alichofanya ni kutengeneza mrija wa kumtapeli huyo Mchungaji na kumfilisi kabisa.

Huyo MC Eglon Rweyemamu alichofanya, akatengenza namba mpya ya simu yenye jina la Rais wa Zanzibar. Akamdanganya huyo Kiongozi kuwa Kuna Luteni Generali wa jeshi anafanya kazi kwenye ikulu ya Zanzibar anaitwa Generali Mwamwega. Na akawaunganisha kimawasiliano huyo Mchungaji na Generali Mwamwega hapo ndipo utapeli ulipoanzia. Kumbuka Generali Mwamwega ni huyo huyo Mceglon.

Mwaka 2023 wakati wa Krismasi ndipo huyo McEglon alimpigia simu huyo Mchungaji na kumwambia kuwa yule waliyentumia pesa za kutoa gari bandarini amekamatwa na ameshtakiwa kwa kosa la utakatishaji fedha na kwamba polisi wanamtafuta huyo Mchungaji wamkamate. Wakati huyo Mchungaji amechanganyikiwa hajui kesi ya utakatishaji imeingiaje ndipo akatokezea huyo Generali Mwamwega na kumwambia asijali atamtumia cheo chake kumsaidia asikamatwe.

Jenerali Mwamwega akamwambia huyo Mchungaji kuwa ameongea na Rais Samia na Rais amesema alipe shilingi milioni mia mbili ndio shitaka lake litafutwa.

Ndipo huyo Mchungaji akaanza kulipa Hilo Deni la kitapeli, kuanzia Desemba 20 mpaka Leo. walimdanganya hizo pesa zinaenda ikulu. Mpaka Sasa ameshalipa milioni mia mbili na kitu, ila Hilo Deni la uongo wanaliongeza kila likikaribia kuisha. Huyo kiongozi kwa Sasa ana madeni mengi na hakuna jinsi ya kuyalipa. Mpaka amechanganyikiwa , hata gari lake kaweka bond. Mali zake zote kawapa aki a MC Eglon waziuze ili walipe Hilo Deni la serikali.

Mpaka Sasa wamemtapeli huyo Mchungaji milioni mia tatu na zaidi kwa kumtishia kesi ya utakatishaji fedha. Wamemtapeli Hilo jengo la Dodoma Wala hawakumaliza wameishia kwenye lenta, wamemtapeli kiwanja milioni 58 Dodoma, wamemtapeli pesa za matibabu milioni 100, wamemtapeli milioni mia mbili kwa kumtishia kesi ya utakatishaji fedha.

RPC wa Dodoma mumuokoe huyu kiongozi, ameanza kuwa kichaa.
 
Nina ombi kwa RPC wa Dodoma, msaidie huyu Katibu Mkuu wa Kanisa la Pentekoste atafilisika na kuuawa. Tatizo hili lilianza mwaka 2021, Baada ya Kiongozi huyo wa dhehebu la Pentekoste kuingia makubaliano ya ujenzi na kampuni ya one 2 one focus. Wakaingia makubaliano ya kujengewa nyumba hapo Dodoma kwa kiasi Cha milioni mia moja na sabini 170,000,000 Tshs.

Aliyekuwa anasimamia huo ujenzi ni mtu mmoja anaitwa McEglon Rweyemamu. Huyo McEglon Rweyemamu alichofanya ni kutengeneza mrija wa kumtapeli huyo Mchungaji na kumfilisi kabisa.

Huyo MC Eglon Rweyemamu alichofanya, akatengenza namba mpya ya simu yenye jina la Rais wa Zanzibar. Akamdanganya huyo Kiongozi kuwa Kuna Luteni Generali wa jeshi anafanya kazi kwenye ikulu ya Zanzibar anaitwa Generali Mwamwega. Na akawaunganisha kimawasiliano huyo Mchungaji na Generali Mwamwega hapo ndipo utapeli ulipoanzia. Kumbuka Generali Mwamwega ni huyo huyo Mceglon.

Mwaka 2023 wakati wa Krismasi ndipo huyo McEglon alimpigia simu huyo Mchungaji na kumwambia kuwa yule waliyentumia pesa za kutoa gari bandarini amekamatwa na ameshtakiwa kwa kosa la utakatishaji fedha na kwamba polisi wanamtafuta huyo Mchungaji wamkamate. Wakati huyo Mchungaji amechanganyikiwa hajui kesi ya utakatishaji imeingiaje ndipo akatokezea huyo Generali Mwamwega na kumwambia asijali atamtumia cheo chake kumsaidia asikamatwe.

Jenerali Mwamwega akamwambia huyo Mchungaji kuwa ameongea na Rais Samia na Rais amesema alipe shilingi milioni mia mbili ndio shitaka lake litafutwa.

Ndipo huyo Mchungaji akaanza kulipa Hilo Deni la kitapeli, kuanzia Desemba 20 mpaka Leo. walimdanganya hizo pesa zinaenda ikulu. Mpaka Sasa ameshalipa milioni mia mbili na kitu, ila Hilo Deni la uongo wanaliongeza kila likikaribia kuisha. Huyo kiongozi kwa Sasa ana madeni mengi na hakuna jinsi ya kuyalipa. Mpaka amechanganyikiwa , hata gari lake kaweka bond. Mali zake zote kawapa aki a MC Eglon waziuze ili walipe Hilo Deni la serikali.

Mpaka Sasa wamemtapeli huyo Mchungaji milioni mia tatu na zaidi kwa kumtishia kesi ya utakatishaji fedha. Wamemtapeli Hilo jengo la Dodoma Wala hawakumaliza wameishia kwenye lenta, wamemtapeli kiwanja milioni 58 Dodoma, wamemtapeli pesa za matibabu milioni 100, wamemtapeli milioni mia mbili kwa kumtishia kesi ya utakatishaji fedha.

RPC wa Dodoma mumuokoe huyu kiongozi, ameanza kuwa kichaa.
Hivi inawezekanaje mtu kutapeliwa kirahisi hivi?
 
Ukimuona mhaya anavaa soksi ndefu kama refa maeneo ya mjini na suti ya mtumba ujue huyo ni tapeli , walikuwepo kibao posta ya zamani hilo jina Rweyamuma ndio kuna jamaa alitapeliwa , huyo mhaya alijifanya ataoa connection za kazi kingereza cha ugoko kingi kumbe tapeli.
 
Nina ombi kwa RPC wa Dodoma, msaidie huyu Katibu Mkuu wa Kanisa la Pentekoste atafilisika na kuuawa. Tatizo hili lilianza mwaka 2021, Baada ya Kiongozi huyo wa dhehebu la Pentekoste kuingia makubaliano ya ujenzi na kampuni ya one 2 one focus. Wakaingia makubaliano ya kujengewa nyumba hapo Dodoma kwa kiasi Cha milioni mia moja na sabini 170,000,000 Tshs.

Aliyekuwa anasimamia huo ujenzi ni mtu mmoja anaitwa McEglon Rweyemamu. Huyo McEglon Rweyemamu alichofanya ni kutengeneza mrija wa kumtapeli huyo Mchungaji na kumfilisi kabisa.

Huyo MC Eglon Rweyemamu alichofanya, akatengenza namba mpya ya simu yenye jina la Rais wa Zanzibar. Akamdanganya huyo Kiongozi kuwa Kuna Luteni Generali wa jeshi anafanya kazi kwenye ikulu ya Zanzibar anaitwa Generali Mwamwega. Na akawaunganisha kimawasiliano huyo Mchungaji na Generali Mwamwega hapo ndipo utapeli ulipoanzia. Kumbuka Generali Mwamwega ni huyo huyo Mceglon.

Mwaka 2023 wakati wa Krismasi ndipo huyo McEglon alimpigia simu huyo Mchungaji na kumwambia kuwa yule waliyentumia pesa za kutoa gari bandarini amekamatwa na ameshtakiwa kwa kosa la utakatishaji fedha na kwamba polisi wanamtafuta huyo Mchungaji wamkamate. Wakati huyo Mchungaji amechanganyikiwa hajui kesi ya utakatishaji imeingiaje ndipo akatokezea huyo Generali Mwamwega na kumwambia asijali atamtumia cheo chake kumsaidia asikamatwe.

Jenerali Mwamwega akamwambia huyo Mchungaji kuwa ameongea na Rais Samia na Rais amesema alipe shilingi milioni mia mbili ndio shitaka lake litafutwa.

Ndipo huyo Mchungaji akaanza kulipa Hilo Deni la kitapeli, kuanzia Desemba 20 mpaka Leo. walimdanganya hizo pesa zinaenda ikulu. Mpaka Sasa ameshalipa milioni mia mbili na kitu, ila Hilo Deni la uongo wanaliongeza kila likikaribia kuisha. Huyo kiongozi kwa Sasa ana madeni mengi na hakuna jinsi ya kuyalipa. Mpaka amechanganyikiwa , hata gari lake kaweka bond. Mali zake zote kawapa aki a MC Eglon waziuze ili walipe Hilo Deni la serikali.

Mpaka Sasa wamemtapeli huyo Mchungaji milioni mia tatu na zaidi kwa kumtishia kesi ya utakatishaji fedha. Wamemtapeli Hilo jengo la Dodoma Wala hawakumaliza wameishia kwenye lenta, wamemtapeli kiwanja milioni 58 Dodoma, wamemtapeli pesa za matibabu milioni 100, wamemtapeli milioni mia mbili kwa kumtishia kesi ya utakatishaji fedha.

RPC wa Dodoma mumuokoe huyu kiongozi, ameanza kuwa kichaa.
Inaonekana kanisa limeshindwa kumsaidia sasa Kuna maana Gani ya kuendelea kuwa muumini mahali hapo?
 
Nina ombi kwa RPC wa Dodoma, msaidie huyu Katibu Mkuu wa Kanisa la Pentekoste atafilisika na kuuawa. Tatizo hili lilianza mwaka 2021, Baada ya Kiongozi huyo wa dhehebu la Pentekoste kuingia makubaliano ya ujenzi na kampuni ya one 2 one focus. Wakaingia makubaliano ya kujengewa nyumba hapo Dodoma kwa kiasi Cha milioni mia moja na sabini 170,000,000 Tshs.

Aliyekuwa anasimamia huo ujenzi ni mtu mmoja anaitwa McEglon Rweyemamu. Huyo McEglon Rweyemamu alichofanya ni kutengeneza mrija wa kumtapeli huyo Mchungaji na kumfilisi kabisa.

Huyo MC Eglon Rweyemamu alichofanya, akatengenza namba mpya ya simu yenye jina la Rais wa Zanzibar. Akamdanganya huyo Kiongozi kuwa Kuna Luteni Generali wa jeshi anafanya kazi kwenye ikulu ya Zanzibar anaitwa Generali Mwamwega. Na akawaunganisha kimawasiliano huyo Mchungaji na Generali Mwamwega hapo ndipo utapeli ulipoanzia. Kumbuka Generali Mwamwega ni huyo huyo Mceglon.

Mwaka 2023 wakati wa Krismasi ndipo huyo McEglon alimpigia simu huyo Mchungaji na kumwambia kuwa yule waliyentumia pesa za kutoa gari bandarini amekamatwa na ameshtakiwa kwa kosa la utakatishaji fedha na kwamba polisi wanamtafuta huyo Mchungaji wamkamate. Wakati huyo Mchungaji amechanganyikiwa hajui kesi ya utakatishaji imeingiaje ndipo akatokezea huyo Generali Mwamwega na kumwambia asijali atamtumia cheo chake kumsaidia asikamatwe.

Jenerali Mwamwega akamwambia huyo Mchungaji kuwa ameongea na Rais Samia na Rais amesema alipe shilingi milioni mia mbili ndio shitaka lake litafutwa.

Ndipo huyo Mchungaji akaanza kulipa Hilo Deni la kitapeli, kuanzia Desemba 20 mpaka Leo. walimdanganya hizo pesa zinaenda ikulu. Mpaka Sasa ameshalipa milioni mia mbili na kitu, ila Hilo Deni la uongo wanaliongeza kila likikaribia kuisha. Huyo kiongozi kwa Sasa ana madeni mengi na hakuna jinsi ya kuyalipa. Mpaka amechanganyikiwa , hata gari lake kaweka bond. Mali zake zote kawapa aki a MC Eglon waziuze ili walipe Hilo Deni la serikali.

Mpaka Sasa wamemtapeli huyo Mchungaji milioni mia tatu na zaidi kwa kumtishia kesi ya utakatishaji fedha. Wamemtapeli Hilo jengo la Dodoma Wala hawakumaliza wameishia kwenye lenta, wamemtapeli kiwanja milioni 58 Dodoma, wamemtapeli pesa za matibabu milioni 100, wamemtapeli milioni mia mbili kwa kumtishia kesi ya utakatishaji fedha.

RPC wa Dodoma mumuokoe huyu kiongozi, ameanza kuwa kichaa.
Dah aise pole sana kwake mchungaji kwa kukutana na yule mwovu
Lakini inakuwaje nae ameridhia Jambo lake liishe kimya kimya
Bila shaka kuna mapungufu upande wake na hapa nanisha mchungaji nae sio bure anamazongezonge yake ndo maana hata majanga feki ya aina hiyo ameamua ayamalize kimya kimya lakini ona sasa inavyomtafuna
Nashauri ajianike tu yaani aiweke kweli peupe nayo kweli itamponya na kumweka huru
Asifiche kitu ili kama kuna adhabu ya yeye kutumikia atumikie na kama kuna haki zake pia nazo azipate
 
Nina ombi kwa RPC wa Dodoma, msaidie huyu Katibu Mkuu wa Kanisa la Pentekoste atafilisika na kuuawa. Tatizo hili lilianza mwaka 2021, Baada ya Kiongozi huyo wa dhehebu la Pentekoste kuingia makubaliano ya ujenzi na kampuni ya one 2 one focus. Wakaingia makubaliano ya kujengewa nyumba hapo Dodoma kwa kiasi Cha milioni mia moja na sabini 170,000,000 Tshs.

Aliyekuwa anasimamia huo ujenzi ni mtu mmoja anaitwa McEglon Rweyemamu. Huyo McEglon Rweyemamu alichofanya ni kutengeneza mrija wa kumtapeli huyo Mchungaji na kumfilisi kabisa.

Huyo MC Eglon Rweyemamu alichofanya, akatengenza namba mpya ya simu yenye jina la Rais wa Zanzibar. Akamdanganya huyo Kiongozi kuwa Kuna Luteni Generali wa jeshi anafanya kazi kwenye ikulu ya Zanzibar anaitwa Generali Mwamwega. Na akawaunganisha kimawasiliano huyo Mchungaji na Generali Mwamwega hapo ndipo utapeli ulipoanzia. Kumbuka Generali Mwamwega ni huyo huyo Mceglon.

Mwaka 2023 wakati wa Krismasi ndipo huyo McEglon alimpigia simu huyo Mchungaji na kumwambia kuwa yule waliyentumia pesa za kutoa gari bandarini amekamatwa na ameshtakiwa kwa kosa la utakatishaji fedha na kwamba polisi wanamtafuta huyo Mchungaji wamkamate. Wakati huyo Mchungaji amechanganyikiwa hajui kesi ya utakatishaji imeingiaje ndipo akatokezea huyo Generali Mwamwega na kumwambia asijali atamtumia cheo chake kumsaidia asikamatwe.

Jenerali Mwamwega akamwambia huyo Mchungaji kuwa ameongea na Rais Samia na Rais amesema alipe shilingi milioni mia mbili ndio shitaka lake litafutwa.

Ndipo huyo Mchungaji akaanza kulipa Hilo Deni la kitapeli, kuanzia Desemba 20 mpaka Leo. walimdanganya hizo pesa zinaenda ikulu. Mpaka Sasa ameshalipa milioni mia mbili na kitu, ila Hilo Deni la uongo wanaliongeza kila likikaribia kuisha. Huyo kiongozi kwa Sasa ana madeni mengi na hakuna jinsi ya kuyalipa. Mpaka amechanganyikiwa , hata gari lake kaweka bond. Mali zake zote kawapa aki a MC Eglon waziuze ili walipe Hilo Deni la serikali.

Mpaka Sasa wamemtapeli huyo Mchungaji milioni mia tatu na zaidi kwa kumtishia kesi ya utakatishaji fedha. Wamemtapeli Hilo jengo la Dodoma Wala hawakumaliza wameishia kwenye lenta, wamemtapeli kiwanja milioni 58 Dodoma, wamemtapeli pesa za matibabu milioni 100, wamemtapeli milioni mia mbili kwa kumtishia kesi ya utakatishaji fedha.

RPC wa Dodoma mumuokoe huyu kiongozi, ameanza kuwa kichaa.


Yeye si aende kwa RPC! Pumbavu
 
Inaonekana kanisa limeshindwa kumsaidia sasa Kuna maana Gani ya kuendelea kuwa muumini mahali hapo?
Kanisa limsaidie kwenye utapeli alioingia

Kanisa Kila kitu hufanya wazi kuodhinishwa na Baraza la wazee na viongozi Kwa uwazi na waumimi wakijua

Hayo makubaliano yalikuwa na idhini ya kanisa?
 
Yaani Mimi na ujanja wangu ,wote katika mishe zangu nikikutana na mwamba anaitwa jina la kule kwao na ana harakati yoyote katika mishe zangu uwa nafunga break siendelei na hilo dili .

Wana wa pande hizo wana akili sana alafu wanazitumia kwenye utapeli .

Ogopa kimbia sana ukikutana nao
 
Nina ombi kwa RPC wa Dodoma, msaidie huyu Katibu Mkuu wa Kanisa la Pentekoste atafilisika na kuuawa. Tatizo hili lilianza mwaka 2021, Baada ya Kiongozi huyo wa dhehebu la Pentekoste kuingia makubaliano ya ujenzi na kampuni ya one 2 one focus. Wakaingia makubaliano ya kujengewa nyumba hapo Dodoma kwa kiasi Cha milioni mia moja na sabini 170,000,000 Tshs.

Aliyekuwa anasimamia huo ujenzi ni mtu mmoja anaitwa McEglon Rweyemamu. Huyo McEglon Rweyemamu alichofanya ni kutengeneza mrija wa kumtapeli huyo Mchungaji na kumfilisi kabisa.

Huyo MC Eglon Rweyemamu alichofanya, akatengenza namba mpya ya simu yenye jina la Rais wa Zanzibar. Akamdanganya huyo Kiongozi kuwa Kuna Luteni Generali wa jeshi anafanya kazi kwenye ikulu ya Zanzibar anaitwa Generali Mwamwega. Na akawaunganisha kimawasiliano huyo Mchungaji na Generali Mwamwega hapo ndipo utapeli ulipoanzia. Kumbuka Generali Mwamwega ni huyo huyo Mceglon.

Mwaka 2023 wakati wa Krismasi ndipo huyo McEglon alimpigia simu huyo Mchungaji na kumwambia kuwa yule waliyentumia pesa za kutoa gari bandarini amekamatwa na ameshtakiwa kwa kosa la utakatishaji fedha na kwamba polisi wanamtafuta huyo Mchungaji wamkamate. Wakati huyo Mchungaji amechanganyikiwa hajui kesi ya utakatishaji imeingiaje ndipo akatokezea huyo Generali Mwamwega na kumwambia asijali atamtumia cheo chake kumsaidia asikamatwe.

Jenerali Mwamwega akamwambia huyo Mchungaji kuwa ameongea na Rais Samia na Rais amesema alipe shilingi milioni mia mbili ndio shitaka lake litafutwa.

Ndipo huyo Mchungaji akaanza kulipa Hilo Deni la kitapeli, kuanzia Desemba 20 mpaka Leo. walimdanganya hizo pesa zinaenda ikulu. Mpaka Sasa ameshalipa milioni mia mbili na kitu, ila Hilo Deni la uongo wanaliongeza kila likikaribia kuisha. Huyo kiongozi kwa Sasa ana madeni mengi na hakuna jinsi ya kuyalipa. Mpaka amechanganyikiwa , hata gari lake kaweka bond. Mali zake zote kawapa aki a MC Eglon waziuze ili walipe Hilo Deni la serikali.

Mpaka Sasa wamemtapeli huyo Mchungaji milioni mia tatu na zaidi kwa kumtishia kesi ya utakatishaji fedha. Wamemtapeli Hilo jengo la Dodoma Wala hawakumaliza wameishia kwenye lenta, wamemtapeli kiwanja milioni 58 Dodoma, wamemtapeli pesa za matibabu milioni 100, wamemtapeli milioni mia mbili kwa kumtishia kesi ya utakatishaji fedha.

RPC wa Dodoma mumuokoe huyu kiongozi, ameanza kuwa kichaa.
MoU ilikuwa kujengewa nyumba! Sasa huu mchakato wa kutoa gari bandarini umeigiaje hapo? Hata hivyo mfumo wa Usimamizi wa fedha wa Kanisa una shida mahala. Haiwezekani kitolewe kiasi kikubwa cha fedha bila Kanisa kufaham
 
Sijaelewa kitu hapa

Mara kawalipa wanjengee nyumba, mara gari limekamatwa bandarini

Unless kama huyo katibu walikua wanafanya nae dili haramu, haingii akilini hujafanya chochote uanze kuambiwa tu ulipe mamilioni, something is missing
 
Nina ombi kwa RPC wa Dodoma, msaidie huyu Katibu Mkuu wa Kanisa la Pentekoste atafilisika na kuuawa. Tatizo hili lilianza mwaka 2021, Baada ya Kiongozi huyo wa dhehebu la Pentekoste kuingia makubaliano ya ujenzi na kampuni ya one 2 one focus. Wakaingia makubaliano ya kujengewa nyumba hapo Dodoma kwa kiasi Cha milioni mia moja na sabini 170,000,000 Tshs.

Aliyekuwa anasimamia huo ujenzi ni mtu mmoja anaitwa McEglon Rweyemamu. Huyo McEglon Rweyemamu alichofanya ni kutengeneza mrija wa kumtapeli huyo Mchungaji na kumfilisi kabisa.

Huyo MC Eglon Rweyemamu alichofanya, akatengenza namba mpya ya simu yenye jina la Rais wa Zanzibar. Akamdanganya huyo Kiongozi kuwa Kuna Luteni Generali wa jeshi anafanya kazi kwenye ikulu ya Zanzibar anaitwa Generali Mwamwega. Na akawaunganisha kimawasiliano huyo Mchungaji na Generali Mwamwega hapo ndipo utapeli ulipoanzia. Kumbuka Generali Mwamwega ni huyo huyo Mceglon.

Mwaka 2023 wakati wa Krismasi ndipo huyo McEglon alimpigia simu huyo Mchungaji na kumwambia kuwa yule waliyentumia pesa za kutoa gari bandarini amekamatwa na ameshtakiwa kwa kosa la utakatishaji fedha na kwamba polisi wanamtafuta huyo Mchungaji wamkamate. Wakati huyo Mchungaji amechanganyikiwa hajui kesi ya utakatishaji imeingiaje ndipo akatokezea huyo Generali Mwamwega na kumwambia asijali atamtumia cheo chake kumsaidia asikamatwe.

Jenerali Mwamwega akamwambia huyo Mchungaji kuwa ameongea na Rais Samia na Rais amesema alipe shilingi milioni mia mbili ndio shitaka lake litafutwa.

Ndipo huyo Mchungaji akaanza kulipa Hilo Deni la kitapeli, kuanzia Desemba 20 mpaka Leo. walimdanganya hizo pesa zinaenda ikulu. Mpaka Sasa ameshalipa milioni mia mbili na kitu, ila Hilo Deni la uongo wanaliongeza kila likikaribia kuisha. Huyo kiongozi kwa Sasa ana madeni mengi na hakuna jinsi ya kuyalipa. Mpaka amechanganyikiwa , hata gari lake kaweka bond. Mali zake zote kawapa aki a MC Eglon waziuze ili walipe Hilo Deni la serikali.

Mpaka Sasa wamemtapeli huyo Mchungaji milioni mia tatu na zaidi kwa kumtishia kesi ya utakatishaji fedha. Wamemtapeli Hilo jengo la Dodoma Wala hawakumaliza wameishia kwenye lenta, wamemtapeli kiwanja milioni 58 Dodoma, wamemtapeli pesa za matibabu milioni 100, wamemtapeli milioni mia mbili kwa kumtishia kesi ya utakatishaji fedha.

RPC wa Dodoma mumuokoe huyu kiongozi, ameanza kuwa kichaa.
Huyu mchungaji aende na Takukuru wamsaidie.
 
Back
Top Bottom