DOKEZO RPC wa Dodoma msaidie huyu Katibu Mkuu wa Kanisa la Pentekoste, atauawa!

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nimejitahidi angalau kugundua connection ya ujenzi wa nyumba hadi kufikia kwa kina Lt Gen, Rais wa Zanzibar na wengineo ila sijapata connection kabisa.

Huyo mchungaji kwa vyovyote vile atakuwa tapeli ndio maana anafanya mambo gizani.
 
akome kwanini mchungaji unajiingiza kwenye biashara za ovyo hivyo maana yake na yeye ni tapeli anawaibia waumini wake ila amekutana na matapeli wenzake wamemnyoosha!
 
Kanisa limsaidie kwenye utapeli alioingia

Kanisa Kila kitu hufanya wazi kuodhinishwa na Baraza la wazee na viongozi Kwa uwazi na waumimi wakijua

Hayo makubaliano yalikuwa na idhini ya kanisa?
Ww unahisi kwann mtoa mata kataja neno KATIBU WA KANISA?
 
Rweyemamu mutu ya ile kanda ya west ni hatari, kwahiyo katibu hakutaka aonane na mwanajeshi uso kwa uso
 
Binafsi sijaelewa.

General amemwambia Mchungaji alipe 200M ili tu asikamatwe kwa kosa la Utakatishaji, hii ni hongo.

Sasa ni kwanini Mchungaji amekubali kutoa hongo hewa Ilhali anajijua hana kosa?

Na mpaka mmeweza kung'amua kuwa Rweyemamu ndiye "General" fake, mnataka RPC amsaidie nini Mchungaji asilipe Pesa kwa huyo Tapeli? Si ni suala la kuacha kumlipa tu na kumchukulia hatua?
 
Sijaelewa kitu hapa

Mara kawalipa wanjengee nyumba, mara gari limekamatwa bandarini

Unless kama huyo katibu walikua wanafanya nae dili haramu, haingii akilini hujafanya chochote uanze kuambiwa tu ulipe mamilioni, something is missing
Hapo sasa
 
Ndo naposhangaa, km mchungaji hana makosa anaogopa nn? Hadi awe analipa hizo fedha tena kwa kuuza na kuweka bond mali zake?

Kuna kitu kinafichwa hapa.
 
Huyo mchungaji atakuwa hana akili kisawasawa. Anaamini vipi marais kuingizwa kwenye mambo yao? Angeshituka tu pale lilipotajwa jina la rais, rais hawezi kutaka fedha namna ile, why asishtuke?
 
Matapeli wengi wa Dar ni Wahaya na Wasukuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…