RS Berkane yapigwa faini kwa vurugu Uwanja wa Mkapa dhidi ya Simba SC

RS Berkane yapigwa faini kwa vurugu Uwanja wa Mkapa dhidi ya Simba SC

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Ama kwa hakika huu ni msiba mkubwa wa tatu kwa watoa bahasha za khaki na wapokeaji wa bahasha hizo , mana msiba wa kwanza ulikuwa goal la SAkho kuwa goala bora la week wakati makanjanja yakiwa yanajaribu kuwaridhisha maboss wao watoa bahasha za khaki walidai ni offside

Pigo la pili ni yule mwamuzi aliyelaumiwa sana na makanjanja kupewa game gumu la juzi kati ya senegal vs egypt

Pigo la tatu ni leo maana team yao kutoka moroko wwaliyoitetea kwa nguvu zote imekula boonge la faini

Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) Limeipiga faini ya dola za Marekani laki moja na elfu nane klabu ya Rs Berkane kutokana na makosa ya kinidhamu kwenye mchezo wao dhidi ya Simba SC, CAF imepiga fain timu hiyo kutokana na makosa makuu mawili.

1⃣- Klabu hiyo imekutwa na kosa la mashabiki wake kutupa vitu kwenye uwanja wakati mechi inaendelea.

2⃣- Makamu wa Rais wa Klabu hiyo Mr. Majid Madrane alivamia uwanja wakati mechi inaendelea na kuwashinikiza timu wachezaji wa timu yake Wasusie mechi.

Kiongozi huyo poa amefungiwa miezi 12 kujihusisha na Soka.


Screen Shot 2022-03-28 at 2.04.19 PM.png
 
Kocha msaidizi wa Simba Queens asimamishwa kazi baada ya uongozi kudai utovu wa nidhamu na moja wa sababu hizo ni Interview aliyehojiwa TBC na kudai wapo wachezaji wa Simba Queens wanalipwa Tsh 50,000 kwa mwezi

Source Issa Mbuzi
 
Kocha msaidizi wa Simba Queens asimamishwa kazi baada ya uongozi kudai utovu wa nidhamu na moja wa sababu hizo ni Interview aliyehojiwa TBC na kudai wapo wachezaji wa Simba Queens wanalipwa Tsh 50,000 kwa mwezi

Source Issa Mbuzi
yeaaah anzishia uzi wake kila week simba ikiwa na mechi muhimu ya afrika haya matakataka hujitokeza kwa wingi kwa ushirikiano mkubwa na makanjanja yanayochukua posho kwa matapeli ya soccer..poleni sana mashabiki mseto kwa team yenu mliyoipokea kula faini
 
yeaaah anzishia uzi wake kila week simba ikiwa na mechi muhimu ya afrika haya matakataka hujitokeza kwa wingi kwa ushirikiano mkubwa na makanjanja yanayochukua posho kwa matapeli ya soccer..poleni sana mashabiki mseto kwa team yenu mliyoipokea kula faini
 
Kocha msaidizi wa Simba Queens asimamishwa kazi baada ya uongozi kudai utovu wa nidhamu na moja wa sababu hizo ni Interview aliyehojiwa TBC na kudai wapo wachezaji wa Simba Queens wanalipwa Tsh 50,000 kwa mwezi

Source Issa Mbuzi
Sijui una matatizo gani wewe ???
 
Kocha msaidizi wa Simba Queens asimamishwa kazi baada ya uongozi kudai utovu wa nidhamu na moja wa sababu hizo ni Interview aliyehojiwa TBC na kudai wapo wachezaji wa Simba Queens wanalipwa Tsh 50,000 kwa mwezi

Source Issa Mbuzi
Yenu ni haya tu.
 
Ama kwa hakika huu ni msiba mkubwa wa tatu kwa watoa bahasha za khaki na wapokeaji wa bahasha hizo , mana msiba wa kwanza ulikuwa goal la SAkho kuwa goala bora la week wakati makanjanja yakiwa...
😅😅😅Msiba wa nne upo njian
 
Utakubalije kupokelewa na kupewa ushauri na mbinu za ushindi na timu ambayo ikiingia kwenye mashindano makubwa ni kupigwa nyuma na mbele?

Ngoja wakome . Nadhani USNG hawatakubali kupokelewa tena na hawa washamba wafuga ng'ombe.
 
Back
Top Bottom