Buggy JF-Expert Member Joined Oct 30, 2010 Posts 236 Reaction score 60 Aug 24, 2012 #1 Kuna yeyote anayelijua shirika la RTI International Tanzania? Kuna ndugu yangu anataka ku-apply kazi huko. Kama kuna anayejua salary package yao na other benefits naomba anijuze.
Kuna yeyote anayelijua shirika la RTI International Tanzania? Kuna ndugu yangu anataka ku-apply kazi huko. Kama kuna anayejua salary package yao na other benefits naomba anijuze.
CharmingLady JF-Expert Member Joined Apr 16, 2012 Posts 18,296 Reaction score 12,972 Aug 24, 2012 #2 nenda google uka-search utapata baadhi ya information!
Las Mas Bobos JF-Expert Member Joined Jun 15, 2012 Posts 991 Reaction score 326 Aug 25, 2012 #3 Haya mabungai ndio yananichefua mimi kila siku natapikia kompyuta yangu, unaulizia mshahara tu, mazingira ya kazi hutaki kujua? Kwanza ni Research Triangle Institute, hakuna international. Huyo ndugu yako kasomea mshahara?
Haya mabungai ndio yananichefua mimi kila siku natapikia kompyuta yangu, unaulizia mshahara tu, mazingira ya kazi hutaki kujua? Kwanza ni Research Triangle Institute, hakuna international. Huyo ndugu yako kasomea mshahara?
A ammablaze Member Joined Jan 27, 2012 Posts 34 Reaction score 1 Aug 25, 2012 #4 Las Mas Bobos said: Haya mabungai ndio yananichefua mimi kila siku natapikia kompyuta yangu, unaulizia mshahara tu, mazingira ya kazi hutaki kujua? Kwanza ni Research Triangle Institute, hakuna international. Huyo ndugu yako kasomea mshahara? Click to expand... Sema basi kasomea mshahara au? Acheni zenu hizo msitusababishie tuchafue computer zetu
Las Mas Bobos said: Haya mabungai ndio yananichefua mimi kila siku natapikia kompyuta yangu, unaulizia mshahara tu, mazingira ya kazi hutaki kujua? Kwanza ni Research Triangle Institute, hakuna international. Huyo ndugu yako kasomea mshahara? Click to expand... Sema basi kasomea mshahara au? Acheni zenu hizo msitusababishie tuchafue computer zetu
Buggy JF-Expert Member Joined Oct 30, 2010 Posts 236 Reaction score 60 Aug 25, 2012 Thread starter #5 huyu las mas bosssoo naye bonge la mshambaaa! eti hakuna International!!! Shamba la kutupwa! hujui hata RTI International ni nini!
huyu las mas bosssoo naye bonge la mshambaaa! eti hakuna International!!! Shamba la kutupwa! hujui hata RTI International ni nini!