Rubani Kapteni Mapunda aliyetunukiwa na Rais Magufuli afunguka

Makinda na Mapunda ni mtu na mtani wake, mwingine ni bird na mwingine ni animal
mwingine kwao Njombe mwingine Songea na wote majina yanaanza na Ma yanaishia na nda kwahiyo hakijaharibika kitu
Duh
 
Mbona gazeti halijabalance story? hakuna mtu anayekataa kwamba Mapunda alistahili hiyo heshima, swali ni.. je Yule Kapteni Makinda aliyetunukiwa nishani na Mh JK yeye pia alirusha ndege hiyo hiyo au ni nyingine au walikua wawili? Ni hilo tu
 
Mzalendo namba moja kachonga mzalendo wake wa ndege, yule aliyetunukiwa na Rais asiye mzalendo naye si mzalendo.

Mzalendo ni anayetambuliwa na mzalendo.
 
Na pia ujiulize kwa nn JPM alimtambua mapunda akamwacha makinda.think both.
Isijekuleta tafrani kama yule jamaa aliyebuni Nembo ya Taifa hahahahaa hii nchi mara nyingine utasema idara ya maji imeunganisha mtambo wa Balimi watu wanapata moja kwa moja.
 
Hakuna asiyependa ila watu wanataka usahihi wa tukio, usitake kuwalazimisha watu wakubali kuwa yeye ndiye aliyeileta ndega DC 9 Tanzania, ndiyo maana mimi binafsi niliuliza inakuwaje ndege moja ikarushwa na marubani wawili tofauti kwenye tukio moja! Kauli yako uliyomalizia ni yakipuuzi nadhani ufafanuzi unajitosheleza bila ya wewe kuongeza neno.
 
Kwa hiyo ndege zilizorudishwa Bongo toka Kenya baada ya EAC kuvunjika ni mbili, yake na ya Makinda?

Mimi binafsi ningependa kupata taarifa sahihi ili kuweka rekodi zangu kichwani sawa.
DC 9 iliyotamkwa na Rais kuwa ilitoroshwa na Mapunda na ndiyo ilitumika kuanzisha ATC ilitoroshwa na Makinda ikitokea Nairobi, Mapunda yeye alitorosha ndege ndogo Fokker akitokea Mombasa siyo Nairobi.
Ni naamini Mapunda naye alikuwepo kwenye viwanja vya Ikulu siku Makinda akipewa nishani.
 
Kwani Makinda wakati anapewa tuzo ,Magazeti hayakuandika
 
Mapunda alikubali vipi sifa ambazo sio zake na anajua kabisa yeye hakufanya hayo?

Ikulu hawana kumbukumbu za kilichotokea?
 
Hiki kizazi cha sasa kina laana
yaani mtu alijitoa muhanga hivyo bado anaonekana Hajafanya lolote!!
Kazi ipo
kutimiza wajibu ni kujitoa muhanga? huo uzalendo mnauhubr mnaupimaje
 
Shida sio kwa Mapunda, shida ni aliyempa Heshima. Wao jambo lolote litakalo fanywa na jpm ni lzm lipingwe kwa nguvu zote.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu

Acha upotoshaji, huyo Magu alitoa service charge ya umeme watu wengi walimsifia. Anatekeleza elimu bure watu wanamsifia. Kuna mengi anapatiia anasifiwa, na hata kama hasifiwi basi hapondwi. Anachokosea ni kusaka kick kisha anatumia hizo kick kupora nafasi ya wengine kukutana na wananchi.
 
Mbunge inatakiwa ufanye siasa kwenye jimbo lako we hutaki, unataka kugundua nini?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Tumemuelewa,ila tumeshakuwa Paranoid kuhusu haya mambo tunayolishwa,kama lile la Dr.Shika kuwa ni jasusi la Kimarekani kumbe ni mgojwa wa Akili.
Mkuu kwani bado unabisha kuhusu ujasusi wa Dr shika?[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]

Hapo mwenzio yuko kazini
 
Unauliza maswali halafu unamaliza kwa hitimisho kuwa kuna upotoshaji! Ina maana una majibu ya maswali yako hapo juu. Share kwanza hayo majibu yako ili tuone conclusion yako imetoka wapi. Halafu unashangaa mnaohoji issues kubanwa. Tatizo mnahoji na preconceived bias, mfano ni wewe.
 

Tukiendelea kuwa hai tutashuhudia na hao wengine wakitunukiwa matuzo mbalimbali tena kwa mbwembwe ndani ya awamu zijazo!
Muhimu kujua ni kuwa mara zote siasa zetu ni za "kijinga" na zinapotosha sana uhalisia!
 
Mkuu kwani bado unabisha kuhusu ujasusi wa Dr shika?[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]

Hapo mwenzio yuko kazini
Jana pia Tuliletewa picha za Muuza Madafu nae wanadai eti ni Jasusi.
 
Hiki kizazi cha sasa kina laana
yaani mtu alijitoa muhanga hivyo bado anaonekana Hajafanya lolote!!
Kazi ipo
Tatizo sio kizazi cha sasa, ila ni hao watoa tuzo, same story mtu mwingine pia alipewa tuzo, so mmojawapo anaongopa. I hope sio huyu ila ni yule mmpewatuzo mwingine, Tanzania ya kizazi hiki every thing is a play!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…