Rubani Kapteni Mapunda aliyetunukiwa na Rais Magufuli afunguka

Mbunge inatakiwa ufanye siasa kwenye jimbo lako we hutaki, unataka kugundua nini?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu

Karibu mkuu wa ccm ni mbunge wa wapi?
 
Bila shaka tumesikia maelezo ya kapteni Mapunda ukweli umefahamika,
Tatizo sio kizazi cha sasa, ila ni hao watoa tuzo, same story mtu mwingine pia alipewa tuzo, so mmojawapo anaongopa. I hope sio huyu ila ni yule mmpewatuzo mwingine, Tanzania ya kizazi hiki every thing is a play!!!!
 
Hao wengine wana haki ya kupata wanachama wapya na kukagua uhai wa vyama vyao.

Anakagua utekelezaji wa sera za chama chake

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Kwani Makinda wakati anapewa tuzo ,Magazeti hayakuandika
Enzi hizo gazeti la Daily News liliandika na picha ya black and white ilipigwa pale ikulu.
Mimi bado sijaelewa kwanini Mapunda hakuhahikisha Rais anapewa taarifa sahihi, hii ya DC9 Rais aliipata wapi? Utafutwe ukweli.
 
Mapunda alikubali vipi sifa ambazo sio zake na anajua kabisa yeye hakufanya hayo?

Ikulu hawana kumbukumbu za kilichotokea?
Mapunda inabidi atueleze kwanini alikubali sifa za kugushi ili apate zawadi mono na kwanini siku zote alikaa kimya huku watu wakibishana.
 
Ujinga ni wa mleta uzi bila kuwa na maelezo ya pande zote mbili. SASA UMESAIDIA NINI?
 
Hiki kizazi cha sasa kina laana
yaani mtu alijitoa muhanga hivyo bado anaonekana Hajafanya lolote!!
Kazi ipo
Yule mzee aliyemhifadhi Nyerere nyumbani kwake kipindi cha mapinduzi ya wanajeshi alipewa baadae zawadi ya kujengewa nyumba na serikali akaikataa akasema alifanya vile kwa mapenzi yake yote mwishowe akaishia kupewa baiskeli tu.

Ila ingekua sasa hivi huyo mzee ange-demand wamjengee hekalu maana tunaambiwa tuwe wazalendo wkt wenzetu viongozi wanatembelea Vx v8,M/benz S class,Bmw 7 series mishahara minono,hatariiiiii.
 
Kumbe ni ndege ndogo ain ya Fokker friendship, nilijua ilikua Boeing 737 kubwa kama dreamliner ivi.

Na kwa ufisadi wa ccm naamini kajindwge hako waliishakauza kwa mafisadi wrnzao wa kihindi akina Patel na Rostam aziz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee soma vizuri uelewe kisha toa hoja zako, usahihi alioutoa Mapunda ni yeye alitorosha Fokker toka Mombasa kwenda Dar na siyo DC9 toka Nairobi kama ilivyosemwa wakati wa kumtunuku. Makinda alitorosha DC9 toka Nairobi kwenda Dar na ndiyo iliyotumika kuanzisha ATC kama Rais alivyosema. Kwanini Mapunda alikubali sifa isiyo yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…