Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
We mtoto wa kiume ujue! Af huyo unaemjadili wa kike. Yaani hapa ndo ninaposemaga kila siku kwamba, vijana wa siku hizi mmekuwa vipapa sana! Hamna makooWanamuziki wabongo ni wadhaifu sana kwenye ubunifu, wanapenda slope na music spinning. Personally wengi hawana public triggers za kupata popularity za trending kwenye song releases zao.
Kiwimbo chenyewe cha Uridhike hakina vine kali la hisia za kuchimba visima na matembele kwa ndizi tukufu.
Rubby amekewa mwanamziki katika level za kokolo.
Ndio Iko hivyo Rubby katepeta
Kichwamoto
Huyo ashakuwa kokolo kwenye tasnia ya mzikiWe mtoto wa kiume ujue! Af huyo unaemjadili wa kike. Yaani hapa ndo ninaposemaga kila siku kwamba, vijana wa siku hizi mmekuwa vipapa sana! Hamna makoo
Prior tu kutoa wimbo wake huo wa Uridhike si ndio alifanya kumnyea kwa tuhuma ndugu Majizo kumbe anatafuta synergy ya kutrend na wimbo wake alotoa Leo kamshirikisha MbossoMjomba unakimbizwa😀😀 mbona sijakuelewa
Tarehe 16-09-2023Leo 16-08-2023!??, Kweli!?, Hata wewe haupo makini.. walewale