cloooooooouds fm....Eti wadau hivi huyu mwanadada, Rubi msanii wa kizazi kipya, ameishia wapi? Simsikii akivuma siku hizi! Kulikoni?
Alitukana wakunga wakati mimba bado changaaliwafanya nini tena huyu shemela wao, nlisikia ni demu wa soudy brown
Ohooo...za chini ya kapeti alikuwa ama date na wote sudy na rugg nahisi walivoachana na boss haikua katka gud terms maana akaanza kuwatemea mapovu kupitia e fm
Huyu akitokea akanipa hela sipokei aisee anaipata kwa tabu sana dah !Mungu saidiaSiku hizi anaimba Singeli
za chini ya kapeti alikuwa ama date na wote sudy na rugg nahisi walivoachana na boss haikua katka gud terms maana akaanza kuwatemea mapovu kupitia e fm
Raha ya Mdada ukicheza Singeli uwe na Mzigo bana,Siku hizi anaimba Singeli
Hukaoni hako ka-bundle?Raha ya Mdada ukicheza Singeli uwe na Mzigo bana,
Sasa huyu Binti jinsi alivyo na Singeli wapi na wapi??
Hako katakua Ka Bundle ka dakika Mkuu,Hukaoni hako ka-bundle?
Ukijiunga dakika 10 si haba shekhe, si unajua watu wakubwa kama Ruge wako bize hawahitaji kujiunga na vifurushi vikubwaHako katakua Ka Bundle ka dakika Mkuu,
Zile za kina Snura na wale Chura wake ndio Bundle za Singeli mkuu
We jamaa umenichekesha sana...umenikumbusha kipindi mshua anatoa hela ya kwenda shule usiku kesho ndo safari...huo usia unaweza kususa pesaHuyu akitokea akanipa hela sipokei aisee anaipata kwa tabu sana dah !Mungu saidia
Hivi hilo furushi lote huko kichwani haskii uzito? Hebu kulwa njoo unisaidie plzEti wadau hivi huyu mwanadada, Rubi msanii wa kizazi kipya, ameishia wapi? Simsikii akivuma siku hizi! Kulikoni?
Maneno ya wazazi huwa makali sana ila mkuu hata we si unaona huruma hapo nimemhurumia kabisaWe jamaa umenichekesha sana...umenikumbusha kipindi mshua anatoa hela ya kwenda shule usiku kesho ndo safari...huo usia unaweza kususa pesa
[emoji3] [emoji3] labda mkuuHivi hilo furushi lote huko kichwani haskii uzito? Hebu kulwa njoo unisaidie plz
Alikorofishana na waliompandisha akasahau hao wengine uwa hatoi wala kuendeleza vipaji bali hufuata mkumbo wa waliobuliwa na hao hao mawingu
Mbona katoa mkuu, mimi nafahamu nyimbo zake mbili sema huzijui kwasababu hazijakiki wa mwisho kaimba singeriKajilegeza tu na uvivu mbona hajatoa wimbo wowote kwamba ukabuma na redio zisipige? Aige mfano wa Aslay kapambana hadi redio zinamtafuta zenyewe
Skeleton linakata mauno, uzuri wa kugeuza kalio kwa mashabiki uwe na tako sasa kakauka kama kanyonywa damu na vampire.Huyu akitokea akanipa hela sipokei aisee anaipata kwa tabu sana dah !Mungu saidia