Kumbe naye fundi wa kuyaha hahaha ha kweli kisingeli .. mtukunyuku umetukunyuliwa
Umekuwa mende siku hizi?Nani ani PM namba zake,? nina shida ya dharula.
😀😀😀 mkuu nina shida ya dharula kabla ya septemba moja, unayo namba yake uni PM?Umekuwa mende siku hizi?
Hapana kwakweli ningekuwa nayo ningekupatia fasta😀😀😀 mkuu nina shida ya dharula kabla ya septemba moja, unayo namba yake uni PM?
Wapi huko?
We nae hamnazo clouds ndo upuuzi gani?Nimewapenda Clouds,hawajampa kiki ni yeye tu anaangaika.
mashaalah al faraaashalisema anatamani kurudi kuimba kwaya sijui kama ataweza kw hichi anachofany