Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,180
- 1,291
limekuwa gumzo kwa nini mawaziri na watu wanaojiweza wanapeleka watoto wao shule za kiingereza kwa gharama kuu wakati watoto wa masikini hawajaliwi katika shule za kata. sababu ni moja tuu ni kutafuta njia ya watoto wao waongee kiingereza vizuri kama ilivyokuwa enzi za darasa la nane .sasa badala ya kupigania kiingereza kirudishwe mashuleni msingini tunalalamika. watanzania wengi wanataka kiingereza kukiongea basi tukifanyie baby comeback mashuleni.
hivi mtanzania anaweza kujiajili mwenyewe katika nchi za watu wengine bila ya kujua lugha ya kiingereza? wasanii wetu hasa wachekeshaji mbona hawaendi kokote nje ya tanzania wakati wale wa kenya, ghana na Nigeria huenda popote pale kutafuta soko na kujiingizia dinari.
Wabunge wanalalamika kila kukicha eti wahitimu wa vyuo vikuu wengi husaga rami kutafuta ajira wakati huo huo hawaoni jinsi wakenya, waghana na Nigeria walivyo sambaa sehemu nyingi duniani wakijiari na kupata kazi kwa sababu moja tuu ya kujua lugha ya jumuia ya common wealth.
tungekuwa kiingereza ni lugha ya mtanzania ya pili Bongo flava muziki wake ungependwa africa yoooote na kuvuma kama vile enzi za CAVASHA ya zaire' jamani hata CNN, FOx na bbc mtoto ashindwe kujua nini kimetokea duniani.
Hongera sana mawaziri wote na wananchi wanaopeleka watoto wao english medium maana siku moja hawatashindwa kufanya kazi za ukatibu mkuu UN, AU,kuongoza mahakama za kimataifa,kupatanisha wagombanao, na kuchezesha mechi za world cup
hivi mtanzania anaweza kujiajili mwenyewe katika nchi za watu wengine bila ya kujua lugha ya kiingereza? wasanii wetu hasa wachekeshaji mbona hawaendi kokote nje ya tanzania wakati wale wa kenya, ghana na Nigeria huenda popote pale kutafuta soko na kujiingizia dinari.
Wabunge wanalalamika kila kukicha eti wahitimu wa vyuo vikuu wengi husaga rami kutafuta ajira wakati huo huo hawaoni jinsi wakenya, waghana na Nigeria walivyo sambaa sehemu nyingi duniani wakijiari na kupata kazi kwa sababu moja tuu ya kujua lugha ya jumuia ya common wealth.
tungekuwa kiingereza ni lugha ya mtanzania ya pili Bongo flava muziki wake ungependwa africa yoooote na kuvuma kama vile enzi za CAVASHA ya zaire' jamani hata CNN, FOx na bbc mtoto ashindwe kujua nini kimetokea duniani.
Hongera sana mawaziri wote na wananchi wanaopeleka watoto wao english medium maana siku moja hawatashindwa kufanya kazi za ukatibu mkuu UN, AU,kuongoza mahakama za kimataifa,kupatanisha wagombanao, na kuchezesha mechi za world cup