Rudisheni tu izo tozo mlizotoa

Rudisheni tu izo tozo mlizotoa

Ego is the Enemy

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
8,201
Reaction score
16,246
Najua mmeshiba na kutujazia Kodi sio kuwa ndipo mnapata uchumi mkubwa wa kulipa madeni.mmeogopa kuwabana wenye pesa Ila mnababana na wajinga wanyonge wasio na nguvu Mana hawamrishi Askari masikini mwenzake.


Sasa wewe eti hakuna tozo kutoa hela chini 30k kwa atm nikitoa laki mbili nakatwa,nikaiweka hela Benki nakatwa na nikitoa otc nakatwa bado nikiinunulia sukari nakatwa na huku nimelipwa Ni mtumishi wa serikalini nimekatwa paye.


Hapo mmesaidia Nini eti hakuna makato kutuma hela Kati ya benki na banki za Aina moja ama tofauti na hiyo hela chini ya alfu 30.


Hizo huduma Ni watu wangapi wanazotumia zaidi ya kuweka na kutoa.


Bro sio kisa umechaguliwa ubunge uko hapo unajiona kuwa una akili mno kuliko wengine.


Na Ni kweli msukuma anadai kuwa wasomi wanashindwa kufanya innovation ya kukuza uchumi ili tupate mapato Ni kweli. Ni kukariri na kutapika unaitwa msomi na desperation za kuandikiwa.



Najua uandhani kisa Cha cheo ama kaelimu ama vihela Basi unajiona Kama una akili mno kuliko hata baba yako aliyemiliki ng'ombe na kuishia la kwanza . Saivi umeshiba na umelewa.


Soko kuu la mwanza mmeshindwa kujenga hata liwe floor kumi huko juu mjaze wamachinga mchukue Kodi mmewacha wazagae wapate njaa baadaye fujo ianze.
 
Hii nchi ingekuwa basi (tata Marco polo) ingekuwa nimeshateremka kitambo sana,Sasa hivi nimepanda zangu Kenya (scania iriza) natota tu
 
Najua mmeshiba na kutujazia Kodi sio kuwa ndipo mnapata uchumi mkubwa wa kulipa madeni.mmeogopa kuwabana wenye pesa Ila mnababana na wajinga wanyonge wasio na nguvu Mana hawamrishi Askari masikini mwenzake.


Sasa wewe eti hakuna tozo kutoa hela chini 30k kwa atm nikitoa laki mbili nakatwa,nikaiweka hela Benki nakatwa na nikitoa otc nakatwa bado nikiinunulia sukari nakatwa na huku nimelipwa Ni mtumishi wa serikalini nimekatwa paye.


Hapo mmesaidia Nini eti hakuna makato kutuma hela Kati ya benki na banki za Aina moja ama tofauti na hiyo hela chini ya alfu 30.


Hizo huduma Ni watu wangapi wanazotumia zaidi ya kuweka na kutoa.


Bro sio kisa umechaguliwa ubunge uko hapo unajiona kuwa una akili mno kuliko wengine.


Na Ni kweli msukuma anadai kuwa wasomi wanashindwa kufanya innovation ya kukuza uchumi ili tupate mapato Ni kweli. Ni kukariri na kutapika unaitwa msomi na desperation za kuandikiwa.



Najua uandhani kisa Cha cheo ama kaelimu ama vihela Basi unajiona Kama una akili mno kuliko hata baba yako aliyemiliki ng'ombe na kuishia la kwanza . Saivi umeshiba na umelewa.


Soko kuu la mwanza mmeshindwa kujenga hata liwe floor kumi huko juu mjaze wamachinga mchukue Kodi mmewacha wazagae wapate njaa baadaye fujo ianze.
Umeongea kwa uchungu sana daah
 
Nilimsikiliza jamaa na tv nikazima, ametuzarau sana!
 
Nchi ngumu sana hii tutafika tumechoka sana mtaani kila kitu bei ipo juu
 
Nilimsikiliza jamaa na tv nikazima, ametuzarau sana!
Yaani anajiona yeye Ana akili na ametumia akili kubwa mno. Serikalini nunueni ama tafuta mwekezaji mjini Kati Jenga ghorofa la Mana mno yaani liwe la kisasa then liwe la wamachinga.
Sasa mtu atoke kisesa eti akazurure kiloleni kwa wamachinga anunue bidhaa zao. Mtu anataka kwenda mjini Kama nyie mnavyokatalia dar es salaam. Kisa mnakula hela za wananchi wajinga wasioweza kuhoji Kodi yao inatumika Basi mnajiona wajanja.
Yaani lile soko Nimeumia eti Lina ghorofa moja tu jamani. Yaani huko juu tungeweza weka hata floors 50. Anza na msingi wa ghorofa 50/80 baadaye huko juu tunauzia wanaotaka kujenga.


Sasa ujue mtu akishiba anakosa ubunifu.

Jamani elimu ya mwafrika Ni kukariri na kutapika ndio anajiona kuwa akasoma na huku amekariri sio kuifanya akili yake iwaze jamani Mana Ni kukopi na ku paste
 
Madelu aliendaga shule kujifunza kuvaa tai na vikoi vyenye nembo ya taifa, hayo mengine ya kutumia akili mtamwonea tu.
 
Nchi ya tozo hii. Tuvumilie tu mpaka siku ya kifo. Maana hakuna wa kutukomboa.
 
Back
Top Bottom