naamini hakuna kiumbe chochote kilicho perfect 100% ila MUNGU pekee.. kwa hili baraza la mtihani Tanzania (NECTA) wameamua kutuongezea utata.. sidhani na sitaamini kama kuna ukweli katika hizi rufaa.. ninachoona ni copy & pest ya matokeo yale yale..
katika awamu zote tulizotawaliwa na ccm hii ya 4 ni kal kuliko zote...... mpaka najiuliza hivy waombolezaji wako wapi inamaa hatukumuomba mungu atupe kiongozi mwenye busara na akili jamani