Rufaa ya DPP kupinga kuachiwa huru kwa Sabaya na wenzake kusikilizwa leo

Ndg Kaka yako Mbowe Bado anakutumia kuandika habari za Sabaya?

Wazee wa Kususia😁🤐
 
Huyu dogo hivi badi hajamalizana na maza tu, mwenzake saa hivi yupo na ma vii eitee anayachezea.
 
How
Sinema zetu, wangerusha tu Azam, tired of this country.
 
Wasted of times and other resources kama makonda aliyefanya unyama uliopitiliza mpaka Wamarekani wanamwona kwa jicho la mwewe wakamfungia amerudishwa ccm hawana aibu ni kama ukoo wa panya wote wezi tuu
Wamarekani huwa wanapewa taarifa na watoa taarifa wa Tanzania! Na ndio nyinyi mnaoendeleza siasa za majitaka!
 
we
uko nje ya mada
 
Ina maana utakuwa unakubaliana na Mako aliyesema tz hakuna chama cha upinzani ila kuna watoa taarifa.
jf siyo chama cha upinzani , Kingine ni hiki , mimi ni mwandishi wa JF , sijawahi kuwa msemaji wa Chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…