LGE2024 Rufaa za CHADEMA Simiyu zagonga mwamba. Wagombea 200 waenguliwa

LGE2024 Rufaa za CHADEMA Simiyu zagonga mwamba. Wagombea 200 waenguliwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

KwetuKwanza

Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
82
Reaction score
150
Uko Wilaya ya Itilima Mkoa wa Simiyu, nimeona kupitia Global TV Online, zaidi ya Wagombea wetu wa CHADEMA rufaa zao zimegonga mwamba, hivyo wameenguliwa wasigombee nafasi yeyote uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.

Waombea takribani 240 wa nafasi mbalimbali, wameenguliwa kugombea katika uchaguzi huo.

Wagombea wetu waliwekewa pingamizi, na wagombea wa CCM, baadaye Chadema wakakataa rufaa, lakini kilichotokea rufaa zimegonga mwamba.

Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Simiyu, Mussa Onesmo akiongea anasema katika hizo pingamizi, mmoja wa wagombea aliwekewa pingamizi kuwa yeye hana shamba baada ya kujaza kuwa yeye ni mkulima.

Soma Pia:
Jambo la hajabu sana, huyo mgombea wetu hakuitwa kuhojiwa kama kweli shamba analo au hapana, lakini kwenye zile kanuni hakuna kipengele ambacho kinaeleza ukisema wewe ni mkulima basi uonyeshe shamba.

Mwingine kwenye fomu yake alipojaza jina la kijiji, iliongeza herufi moja mbele, Kamati haijaona hilo ni kama kosa dogo ambalo ni kama kosa la kuandishi, huyo mgombea wetu ameenguliwa na yeye.

Mwenyekiti wa chadema Simiyu anasema makosa mengi ni madogo na mengine ya kutengenezwa, lakini hakuna mgombea hata mmoja wa kwao ambaye ameitwa kwenye kamati kwa ajili ya kuhojiwa.

Mwenyekiti huyo anaeleza watakwenda kupiga kampeini hata ambako wagombea wao wameenguliwa, na watawahasisha wananchi umuhimu wa kupiga kura ya Ndiyo na Hapana.

 
Uko Wilaya ya Itilima Mkoa wa Simiyu, nimeona kupitia global tv online, zaidi ya wagombea wetu wa CHADEMA rufaa zao zimegonga mwamba, hivyo wameenguliwa wasigombee nafasi yeyote uchaguzi wa serikali za mitaa 2024.

Waombea takribani 240 wa nafasi mbalimbali, wameenguliwa kugombea katika uchaguzi huo.

Wagombea wetu waliwekewa pingamizi, na wagombea wa CCM, baadaye Chadema wakakataa rufaa, lakini kilichotokea rufaa zimegonga mwamba.

Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Simiyu, Mussa Onesmo akiongea anasema katika hizo pingamizi, mmoja wa wagombea aliwekewa pingamizi kuwa yeye hana shamba baada ya kujaza kuwa yeye ni mkulima.

Jambo la hajabu sana, huyo mgombea wetu hakuitwa kuhojiwa kama kweli shamba analo au hapana, lakini kwenye zile kanuni hakuna kipengele ambacho kinaeleza ukisema wewe ni mkulima basi uonyeshe shamba.

Mwingine kwenye fomu yake alipojaza jina la kijiji, iliongeza herufi moja mbele, Kamati haijaona hilo ni kama kosa dogo ambalo ni kama kosa la kuandishi, huyo mgombea wetu ameenguliwa nay eye.

Mwenyekiti wa Chadema Simiyu anasema makosa mengi ni madogo na mengine ya kutengenezwa, lakini hakuna mgombea hata mmoja wa kwao ambaye ameitwa kwenye kamati kwa ajili ya kuhojiwa.

Mwenyekiti huyo anaeleza watakwenda kupiga kampeini hata ambako wagombea wao wameenguliwa, na watawahasisha wananchi umuhimu wa kupiga kura ya Ndiyo na Hapana.


View: https://youtu.be/A-yFJuQDUIA?si=FXxtQHhcs658Y9hr

siku mbili zijazo baada ya leo, zinaanza kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji,

yaani bado kuna watu wanang'ang'ana na mapingamizi ndrugu zango?

ifikie mahali watu wakubali tu kwamba muda umweatupa mkono. Wajipange kwajili ya wakati mwingine wa uchaguzi..

Hii imeenda ndrugu zango 🐒
 
CCM, CHADEMA na vyama vingine nawaonaga kama matapeli tu.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo
 

Attachments

  • IMG-20241117-WA0032.jpg
    IMG-20241117-WA0032.jpg
    118.5 KB · Views: 6
Uko Wilaya ya Itilima Mkoa wa Simiyu, nimeona kupitia Global TV Online, zaidi ya Wagombea wetu wa CHADEMA rufaa zao zimegonga mwamba, hivyo wameenguliwa wasigombee nafasi yeyote uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.

Waombea takribani 240 wa nafasi mbalimbali, wameenguliwa kugombea katika uchaguzi huo.

Wagombea wetu waliwekewa pingamizi, na wagombea wa CCM, baadaye Chadema wakakataa rufaa, lakini kilichotokea rufaa zimegonga mwamba.

Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Simiyu, Mussa Onesmo akiongea anasema katika hizo pingamizi, mmoja wa wagombea aliwekewa pingamizi kuwa yeye hana shamba baada ya kujaza kuwa yeye ni mkulima.

Soma Pia:
Jambo la hajabu sana, huyo mgombea wetu hakuitwa kuhojiwa kama kweli shamba analo au hapana, lakini kwenye zile kanuni hakuna kipengele ambacho kinaeleza ukisema wewe ni mkulima basi uonyeshe shamba.

Mwingine kwenye fomu yake alipojaza jina la kijiji, iliongeza herufi moja mbele, Kamati haijaona hilo ni kama kosa dogo ambalo ni kama kosa la kuandishi, huyo mgombea wetu ameenguliwa na yeye.

Mwenyekiti wa chadema Simiyu anasema makosa mengi ni madogo na mengine ya kutengenezwa, lakini hakuna mgombea hata mmoja wa kwao ambaye ameitwa kwenye kamati kwa ajili ya kuhojiwa.

Mwenyekiti huyo anaeleza watakwenda kupiga kampeini hata ambako wagombea wao wameenguliwa, na watawahasisha wananchi umuhimu wa kupiga kura ya Ndiyo na Hapana.


Ilikuwa je wengi wakashindwa kufuata taratibu za kugombea?
 
Uko Wilaya ya Itilima Mkoa wa Simiyu, nimeona kupitia Global TV Online, zaidi ya Wagombea wetu wa CHADEMA rufaa zao zimegonga mwamba, hivyo wameenguliwa wasigombee nafasi yeyote uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.

Waombea takribani 240 wa nafasi mbalimbali, wameenguliwa kugombea katika uchaguzi huo.

Wagombea wetu waliwekewa pingamizi, na wagombea wa CCM, baadaye Chadema wakakataa rufaa, lakini kilichotokea rufaa zimegonga mwamba.

Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Simiyu, Mussa Onesmo akiongea anasema katika hizo pingamizi, mmoja wa wagombea aliwekewa pingamizi kuwa yeye hana shamba baada ya kujaza kuwa yeye ni mkulima.

Soma Pia:
Jambo la hajabu sana, huyo mgombea wetu hakuitwa kuhojiwa kama kweli shamba analo au hapana, lakini kwenye zile kanuni hakuna kipengele ambacho kinaeleza ukisema wewe ni mkulima basi uonyeshe shamba.

Mwingine kwenye fomu yake alipojaza jina la kijiji, iliongeza herufi moja mbele, Kamati haijaona hilo ni kama kosa dogo ambalo ni kama kosa la kuandishi, huyo mgombea wetu ameenguliwa na yeye.

Mwenyekiti wa chadema Simiyu anasema makosa mengi ni madogo na mengine ya kutengenezwa, lakini hakuna mgombea hata mmoja wa kwao ambaye ameitwa kwenye kamati kwa ajili ya kuhojiwa.

Mwenyekiti huyo anaeleza watakwenda kupiga kampeini hata ambako wagombea wao wameenguliwa, na watawahasisha wananchi umuhimu wa kupiga kura ya Ndiyo na Hapana.


Tumeshuhudia fomu original ambazo wagombea wamejaza zinafichwa Alafu zinaletwa fomu ambazo wao hawakujaza na zimebadilishwa mwaka wa kuzaliwa ndio zinazohesabika kuwa zina makosa,tuwe watulivu MUNGU anaona yote yanayoendelea na hakuna asiyejua hayo yote.
 
Huku chama Kila siku ni malalamiko tu, hakuna siku itapita bila chama hiki kulalamika
Kuna tofauti ya kukalamika na kusema ukweli.au wewe kwa akili zako ndogo zakushikiwa unaona yanayofanyika ni sawa?.na ulitaka wakae kimya?
 
Uko Wilaya ya Itilima Mkoa wa Simiyu, nimeona kupitia Global TV Online, zaidi ya Wagombea wetu wa CHADEMA rufaa zao zimegonga mwamba, hivyo wameenguliwa wasigombee nafasi yeyote uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.

Waombea takribani 240 wa nafasi mbalimbali, wameenguliwa kugombea katika uchaguzi huo.

Wagombea wetu waliwekewa pingamizi, na wagombea wa CCM, baadaye Chadema wakakataa rufaa, lakini kilichotokea rufaa zimegonga mwamba.

Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Simiyu, Mussa Onesmo akiongea anasema katika hizo pingamizi, mmoja wa wagombea aliwekewa pingamizi kuwa yeye hana shamba baada ya kujaza kuwa yeye ni mkulima.

Soma Pia:
Jambo la hajabu sana, huyo mgombea wetu hakuitwa kuhojiwa kama kweli shamba analo au hapana, lakini kwenye zile kanuni hakuna kipengele ambacho kinaeleza ukisema wewe ni mkulima basi uonyeshe shamba.

Mwingine kwenye fomu yake alipojaza jina la kijiji, iliongeza herufi moja mbele, Kamati haijaona hilo ni kama kosa dogo ambalo ni kama kosa la kuandishi, huyo mgombea wetu ameenguliwa na yeye.

Mwenyekiti wa chadema Simiyu anasema makosa mengi ni madogo na mengine ya kutengenezwa, lakini hakuna mgombea hata mmoja wa kwao ambaye ameitwa kwenye kamati kwa ajili ya kuhojiwa.

Mwenyekiti huyo anaeleza watakwenda kupiga kampeini hata ambako wagombea wao wameenguliwa, na watawahasisha wananchi umuhimu wa kupiga kura ya Ndiyo na Hapana.


Magufuri kaialibu sana nchi, hadi ikae sawa, itachukua sana muda hii nchi aise.
 
Back
Top Bottom