Rugaimukamu,Muchunguzi&Rweyongeza on Gozbert

Rugaimukamu,Muchunguzi&Rweyongeza on Gozbert

IronBroom

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2008
Posts
521
Reaction score
36
I came across this dialogue......

Rugaimukamu: Hivi Rweyongeza, kare katoto kako Gozbert kako wapi siku
hizi? maana nakumbuka karikuwa dull darasani mwenzake Albert ni daktari
bingwa sasa!

Muchunguzi: Ee Albert kumbe ni mtaaram.

Rweyongeza: aa Gozbert yupo, yeye kazi yake ni kuwahudumia wagonjwa
warioshindwa na madaktari bingwa!

Rugaimukamu: mmmm

(BAADA YA Rugaimukamu kuondoka )

Muchunguzi: Eee Rweyongeza, nirishindwa kukuuriza mbere ya Rugaimukamu,
sasa kama Gozbert anahudumia wagonjwa warioshindwa na madaktari bingwa,
yeye ni nani?

Rweyongeza: Aaa unajua Ka Gozbert hakakusoma hivyo kanachimba makaburi!
 
hahahah hawa wenzetu nao na matatizo tupu jamani 😛
 
Back
Top Bottom