Rugby world cup 2011

afrodenzi

Platinum Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
18,150
Reaction score
9,255
yes count down is on , rugby world cup 2011..
9 SEPTEMBER -23 OCTOBER

POOLS

POOL A

New Zealand
France
Tonga
Canada
Japan
POOL B
Argentina
England
Scotland
Georgia
Romania

POOL C

Australia
Ireland
Italy
Russia
USA


POOL D
South Africa
Wales
Fiji
Samoa
Namibia.




ladies and Gentlemen
washabiki wa rugby, wapendwa, wageni
yeeessss the count down is on.......
napenda kuwa karibisha kwenye huu mlumbano wa rugby world cup 2011..
Paul, the Psychic Octopus
ali predict nchi moja kati ya hizo mmmhhh
na we wa predict nchi ipi itatwaa kombe la Dunia??




 
Naona England Captain wao atakuwa nje kwa miezi sita. Lakini nina uhakika mwaka huu ni Argentina au Ireland.
 
POOL B ni kundi la kifo, ARGENTINA,ENGLAND NA SCOTLAND

pool B
hata mie naisubiria kwa hamu sana

Argentina VS England


halafu

Scotland VS Georgia..


duuuhh mkuu Pool A is not fear New Zealand itawasafisha hao wote...
hakuna game hapo labda France itawababaisha kidogo saana
 
AD kuna movie inaitwa invictus, Morgan Freeman alicheza kama Nelson Mandela inahusu mashindano ya kombe la dunia la Rugby yaliyofanyika South Africa na South Africa ikawa mabingwa. Sinema hiyo inasisimua sana jinsi ilivyoweza kuwaunganisha Wasouth Africa wa kila rangi katika kuishangilia timu yao. Kama sikosei invictus ilikuwa nominated kwenye Oscar lakini haikuambulia kitu. Kama hukuiona itafute utaipenda sana. Miye kwenye mashindano ya mwaka huu nazipa nafasi kubwa NZ, UK, South Africa na Australia.

YouTube - "Invictus" - Official Trailer [HD]
 
SOUTH AFRICA kwa sasa wamefulia si kama ilipochukua kombe hili 2007


Miye nafikiri pia kuchezea nyumbani kuliwapa motivation kubwa sana na hivyo kucheza kwa ari na hivyo kuishangaza dunia pamoja na kuwa wengi hawakuipa South Africa nafasi kubwa ya kuibuka na ubingwa.

 

duuhh nimeisikia hiyo movie lakini sikuifuatilia
mmhh itabidi niende video easy leo
hahaha ..

mie UK si wapi kitu mwaka huu....
competition iko kwenye hizo tatu zilizo bakia..
usema ukweli nawa penda sana ALL BLACKS (NZ)
lakini hawa WALLABIES (OZ) ...
duuh naoana wameanza kuamka ile mbaya....
SPRINGBOKS (SA) hawa watawapa competition moja ya hizo
mbili kwenye semi/quarter final lol...
 
Itafute hiyo Invictus , miye pamoja na rugby si mpenzi kihivyo lakini niliipenda sana.
 
Hivi AD, kuna ranking za Rugby kama zile za FIFA zinazoonyesha ni nchi gani inachukua numero uno na kuendelea? Hawa France nao vipi? Kama sikosei miaka michache iliyopita nao walikuwa na timu nzuri sana
 
Miye nafikiri pia kuchezea nyumbani kuliwapa motivation kubwa sana na hivyo kucheza kwa ari na hivyo kuishangaza dunia pamoja na kuwa wengi hawakuipa South Africa nafasi kubwa ya kuibuka na ubingwa.


kuna wacheza wazuri sana wa Rugby SA ...
lakini bado wameachwa underground ..
yaani ndo maanake..
wangeletwa wote mmmhhh hapo ndo ungeona Rugby ilivyo kuwa tamu..
we mwangalie Bryan Habana jamaa anakimbia 11sec 100m
huyu achana naye jamaa alifanya mashindano na cheetah kwa ajili ya charity ..
ukicheki anavyo ruka hizo takle duuhhh
ananipa raha....
 
Hivi AD, kuna ranking za Rugby kama zile za FIFA zinazoonyesha ni nchi gani inachukua numero uno na kuendelea? Hawa France nao vipi? Kama sikosei miaka michache iliyopita nao walikuwa na timu nzuri sana

yap kuna ranking
kwa sasa ALL BLACK (NZ) ndo number moja..
kama unataka kuona zote visit hii website
International Rugby Board - World Rankings: Full world rankings websit

yap duuhh sifuatiliagi sana mambo ya SIX Nation
lakini naoana France wamefanya vizuri sana 2010..
ukiangalia game walio cheza na Italy ..
duuhh waliwapa competition ..
lakini haikuti kama game waliocheza
game ya Crusaders VS Blues ( na hizo ni super 14 team sio hata Nation yote)..
Sidhani kama france wataenda mbali mwaka huu
sintashangaa kama Tonga wakiwaondoa France hahah lol
 
Hata hivyo naona wamepangwa na timu ambazo sio kali sana except for wales

yeah hilo Pool D SA watakuwa wametoka kirahisi ..

mie nadhani Samoa watawapa SA ngumu kidogo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…