ZamdaIssa
JF-Expert Member
- Nov 10, 2015
- 879
- 1,458
Wadau kwanza naomba tumuombee marehemu Rugemalila dua ili mungu amuweke panapostahili kulingana na amali zake!!Kifo ni tabia ya kimaumbile ambapo mimi na wewe wote tutakufa!Lazima..
.
Huko nyuma marehemu Ruge aliwahi kutupiwa lawama na msanii Nguli asiyechuja wakati wote Diamond Kuwa yeye Ruge ndiyo alishawishi mpaka ngoma zake kama Halleluya na nyingine kufungiwa bila sababu za msingi na baada ya Diamond kumtupia lawama sana Ruge basi ngoma hizo zilifunguliwa huku Ruge akikanusha kwamba yeye hana Connection wala ushawishi wowote ule Basata..
.
Leo tumeshuhudia Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Godfrey Mngereza Ametoa salam za Rambirambi kwa msiba wa mpendwa wetu Ruge Mutahaba na kujikuta akishindwa kumaliza kueleza mchango wa Ruge katika sanaa nchini.
“Ruge amesaidia sana uendeshaji wa program mbalimbali za BASATA kwa kufadhili kutoa Mada zilizokuwa zikiwaelimisha wasanii kutumia mitandao ya kijamii kujiingizia kipato”
#jasirimuongozanjia
.
Kwamba Ruge alikua anawafadhili na kutoa ushauri na ushawishi wa nini kifanyike na kwanani juu ya wasanii!!
.
Nazidi kuelewa kwanini Diamond na wasanii wengine hawajaenda msibani,nazidi kuelewa kwanini MH Sugu amemtaja marehemu kama Mtu hatari zaidi katika kitabu chake!!
.
R.I.P Ruge,Jasiri muongoza njia
.
Huko nyuma marehemu Ruge aliwahi kutupiwa lawama na msanii Nguli asiyechuja wakati wote Diamond Kuwa yeye Ruge ndiyo alishawishi mpaka ngoma zake kama Halleluya na nyingine kufungiwa bila sababu za msingi na baada ya Diamond kumtupia lawama sana Ruge basi ngoma hizo zilifunguliwa huku Ruge akikanusha kwamba yeye hana Connection wala ushawishi wowote ule Basata..
.
Leo tumeshuhudia Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Godfrey Mngereza Ametoa salam za Rambirambi kwa msiba wa mpendwa wetu Ruge Mutahaba na kujikuta akishindwa kumaliza kueleza mchango wa Ruge katika sanaa nchini.
“Ruge amesaidia sana uendeshaji wa program mbalimbali za BASATA kwa kufadhili kutoa Mada zilizokuwa zikiwaelimisha wasanii kutumia mitandao ya kijamii kujiingizia kipato”
#jasirimuongozanjia
.
Kwamba Ruge alikua anawafadhili na kutoa ushauri na ushawishi wa nini kifanyike na kwanani juu ya wasanii!!
.
Nazidi kuelewa kwanini Diamond na wasanii wengine hawajaenda msibani,nazidi kuelewa kwanini MH Sugu amemtaja marehemu kama Mtu hatari zaidi katika kitabu chake!!
.
R.I.P Ruge,Jasiri muongoza njia