Ruge atimiza miaka 49, happy birthday Mdau

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dahhhh
 
Ni umafia.kuna dogo alisoma na mdogo wangu namzidi miaka minne .anataka ndoa balaa.naanzaje? Nikamwambia hapana .ndoa inaenda hivi hvi naiona Ila sio mbaya nitakufa na tai shingoni
Ww njoo kwa wazee wenzako akina sie tukupe penzi la kizee,
lkn sio unakuja kwangu nakuoa nakuhudumia kama malkia alafu unarudi kwa
vijana ukiwa ndani kwangu maana kichwa chako nitatengenezea supu
 
Rugemalila Mutahaba ndio Nyerere wa Tasnia ya Music Na burudani ya kizazi kipya

Huyu ndio anafaa kujiita Akili kubwaaaz Sio Yule kibushuti team Makaptula
Yule ni ccm mwenzio, sio vizuri kusemana hadharani.
 
Ww njoo kwa wazee wenzako akina sie tukupe penzi la kizee,
lkn sio unakuja kwangu nakuoa nakuhudumia kama malkia alafu unarudi kwa
vijana ukiwa ndani kwangu maana kichwa chako nitatengenezea supu
Una miaka mingapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…