stup guys thnk stupd thngs...sor moderators kwa neno kali..hivi hao kna kashaga kwa hongo walizolpwa ndio wanawahadaa watanzania ni mtanzania gani asiyejua uzandiki wa ruge na clouds mpaka mmekuja kujipendekeza JF Jide kawashka pabaya mnafkri kupeleka maandamano kwa viongoz ndio mnawafurahsha watz waliochoshwa na sera mbovu znazowafanya wasanii wa tanzania kubak maskin wa kutupwa wakat akna Josee chameleon, BEBE COOL, juliana, Watoto wadogo kina Radio na wizo apa Uganda na kna mzee wa kgeugeu,prezoo,nonin,jua kali, kule kenya wanajenga magorofa na kununua harmer na vogue kila sku mpaka wanasema ni nan aliyeilaani wasanii watanzania na bila kumumunya maneno huwa nawambia ni clouds na vbaraka wao wachche kama nyie mnaosuport unyonyaji na hao wanaowaonga ili kuwaombea pnda aingie mkenge na kupokea maandamano ya wanyonyaji wakubwa wa watanzania wakat wenyewe ndio wanaolia na ajra akna ruge wanazozizua kila kukcha....GO TO HELL RUGE, CLOUDS AND YOUR PUPPERTS Nitahamasisha wabunge wa upnzani kuimalza hii radio