Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Jide akaze buti...akubaliane na ukweli kuwa skylyt band imefikishia nyumbani lounge kushuka....mmnh ??kifupi wanasema a accept..amefulia
Kuusu lina na barnaba wao wapo kwenye management nyingine na alipokwenda kuulizia ameambiwa kua Jd ameshindwana nao bei na Jd alikubali kushindwa
Alisema Jide siyo wa kwanza kutopigwa nyimbo zake. Akataja vituo vyyya. EA na kingine ambavyyyo viliacha kupiga nyimbo za Ray C nadhani na Diamond. Niko tayari kusahihishwa.
Akasema pia kwamba leo hii tunavyoongea,Diamond yuko UK. Kuna lebo anaingianayo mkataba,yote hayo ni kuangalia fursa ulizonazo na kuzitumia kwa wakati. Akaweka angalizo la Mr Nice na yule dada wa kuchambua kama karanga walivyokuwa wanajaza show zao viwanjani. Akataja na fursa nyingina ya ringtone,ambapo alimtaja Rose Mhando anachukua Mil 19 hivi kila miezi mitatu,na Diamond robo iliyoisha aliweka kwenye wallet Mil 21. Akataja na wengine.
Then Kibibi kikaja kwenye mitandao na kupakaza kuwa eti Lina na Barnaba wamepigwa stop kuhudhuria show yake.
Teh teh Kibibi kizee cha Musoma kimeshikwa na Sky Light sasa kinalia na watu wengine.
Haya sasa.
Hii ishu ya Jide kutoa waraka wiki iliopita ilipingwa vikali sana na baadhi ya watu hapa JF.
Gang Chomba, Ogah, Putin, Nyani Ngabu na wengine weengi waliitwa wasaliti na vibaraka wa Clouds FM.
Putin alikuja na Data hizihizi ambazo Ruge amezirudia leo.
Muheshimiwa Putin aliweka wazi kuwa JD anatafuta huruma ya watu na kutafuta wafuasi watakaokuwa wanatokwa na mipovu kwenye mitandao ya kijamii ili kumtetea.
Muheshimiwa Putin aliwatahadharisha wana JF kuwa wanatakiwa waelewe hili sakata ni tofauti na huyo Bibi alivyoliripoti.
muheshimiwa Putin alisema kinachomsumbua huyo Bibi ni kitendo cha Bendi ya Sky Light kuchukua baadhi ya wanamuziki kutoka Machozi Band na pia kupewa shavu kwa kutangazwa sana na Redio Clouds.
Leo hii Ruge ameweka wazi ishu ilivyo na sasa tumejuwa mbivu na mbichi.
Kiibibi sasa kirudi kwenye kwaya kilipoanzia.
Ametumia Radio yao kumshambulia Lady JD kumshambulia bila kujibu hoja! these to me is non sense!
Amempa opportunity kuwa yuko tayari wakati wowote,aje na meneja wake na watafute sehemu yoyote atakayoona inafaa,aje na hoja,kisha zijadiliwe ili kulimaliza swala hili!
Then Kibibi kikaja kwenye mitandao na kupakaza kuwa eti Lina na Barnaba wamepigwa stop kuhudhuria show yake.
Teh teh Kibibi kizee cha Musoma kimeshikwa na Sky Light sasa kinalia na watu wengine.
Kwani bendi ipo Skylight bend peke yake? Ruge aache kutuaminisha upumbavu, kwa nini sio Top band au nyinginezo? Akubali kuwa hapendi maendeleo ya Jide
Haya sasa.
Hii ishu ya Jide kutoa waraka wiki iliopita ilipingwa vikali sana na baadhi ya watu hapa JF.
Gang Chomba, Ogah, Putin, Nyani Ngabu na wengine weengi waliitwa wasaliti na vibaraka wa Clouds FM.
Putin alikuja na Data hizihizi ambazo Ruge amezirudia leo.
Muheshimiwa Putin aliweka wazi kuwa JD anatafuta huruma ya watu na kutafuta wafuasi watakaokuwa wanatokwa na mipovu kwenye mitandao ya kijamii ili kumtetea.
Muheshimiwa Putin aliwatahadharisha wana JF kuwa wanatakiwa waelewe hili sakata ni tofauti na huyo Bibi alivyoliripoti.
muheshimiwa Putin alisema kinachomsumbua huyo Bibi ni kitendo cha Bendi ya Sky Light kuchukua baadhi ya wanamuziki kutoka Machozi Band na pia kupewa shavu kwa kutangazwa sana na Redio Clouds.
Leo hii Ruge ameweka wazi ishu ilivyo na sasa tumejuwa mbivu na mbichi.
Kiibibi sasa kirudi kwenye kwaya kilipoanzia.
Toka siku ya kwanza km Unakumbuka nilisema Ugomvi hapa ni Sky light Ila huyu BIBI anaugeuza na Kutaka huruma za watu.
Toka siku ya kwanza km Unakumbuka nilisema Ugomvi hapa ni Sky light Ila huyu BIBI anaugeuza na Kutaka huruma za watu.