Ruge mutahaba ajibu mashambulizi dhidi ya tuhuma za lady jaydee

Anasemaje kuhusu mwanadada komando.?
 
Bado hajaanza kumuongelea,ameanza na blaa blaa kibao sahivi wameweka matangazo.ngoja tumsikilizie

Mara ooo Jide ni....
Mara ooo Jide ali...
Mara ooo Jide nilim...
Yani blaa blaa kibao
 
Ruge unazunguka sana, mara opportunities, mara ushindani, mara...nenda kwenye point
 
Anasema hakujibu kwa sababu suala hilo ni binafsi na halina tija kwa taifa,
kisha hajui nini tatzo
 
Anaelezea jinsi redio yake ilivyosajiliwa
 
Blah blah nyingi tu sijaona point mpaka sasa
 
Naona Ruge analeta propaganda na upuuzi tu,malalamiko ya wasanii ni maslahi kwa industry ya music ambayo ni ajira kwa vijana,aache kujificha kwenye soko huria,clouds ni wanyonyaji tu waliojaza ukiritimba na cartel ya kinyonyaji
 
Anasema hakujibu kwa sababu suala hilo ni binafsi na halina tija kwa taifa,
kisha hajui nini tatzo

anaongea mambo mengi hata simwelewi . Skype hebu nifanyie summary plz
 
Last edited by a moderator:
Anarudiarudia neno opportunity, anasema wao ni redio namba moja, wana tuzo za kimataifa, clouds inaendeshwa na watu, sehem kubwa ya tatzo inaanzia kwenye pesonal attack
 
Anasema nchi kama nchi inatakiwa izungumzie matatizo yenye maslai ya taifa na sio individual na ndo mana alikua kimya kipindi chote japo alipata misukimo kwa watu mbali mbali ya kuombwa alizungumzie swala hili.

Saivi anaelezea lengo/ dhumununi la kuanzishwa clouds mpaka wakapata mafanikio ya kukubalika Ktk jamii na kupata tuzo mara3 mfululizo
 
anaongea mambo mengi hata simwelewi . Skype hebu nifanyie summary plz

Mgogoro uliibuka tarehe 14 December 2012 baada ya kusoma tweeter na kuamua kumpigia simu Jide
 
Last edited by a moderator:
Anajitetea kuhusu Jide kutopromotiwa na badala yake kupromotiwa Sky light band
 
Tililikaaaa

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…