figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
asante kwa kunirekebisha mkuu. miaha haaa huyo sio Rose Muhando ni I think ni kijitonyama Lutheran
Duh yani mmepoteza muda kufuatilia hamna cha kufanya?
Kweli Clouds inakimbiza!
Labda inakukimbiza wewe mi bado natembea hapa,na EA utasemaje?Uko Ug/Kenya unaipata Ea radio bila kupanda juu ya mti sembuse uyo ukiwa Kibaha tu inaanza kuZingua,sema inanikimbiza siyo inatukimbiza matumiz ya umoja na wing yazingatiwe.
Nimemuelewa sana Ruge, pamoja na matatizo ya Clouds ila JD ndio mwenye matatizo kwenye huu ugomvi!!
Amegusia Joto hasira, kadai haijafanya vizuri sana
Lina na Barnaba walizuiwa kwenda kwa jd, Ruge kakanusha
Mwisho kasema,
Jd akaze buti, anapigana the wrong war, skylight inamsumbua jd.
Vita yake jd, na bunduki zake azielekeze skylight.