Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Mkuuu sio sisi ni matendo aliyoyatenda kwa wenzie.....unadhan MTU kama Sugu au Komando Jide akiwa humu ataandika comment ya kukufanya ww ufurahi?simjui ruge ni nani lakn humu ndani kuna watu wana akili chafu sna wao kila kitu wanafurahia hata mtu akiwa na matatizo wanafurahi. hivi nyinyi mnaofurahia matatizo ya watu ni binadamu kweli au ni viumbe wa aina gani? bahati yenu sio admin ningekuwa nawapiga block wote wenye tabia za hivi kufanya utani kwenye matatizo
kivipi?Wandugu... Tujistahi basiii
Kipimo tukitumiacho kupimia ndicho tutakachopimiwaNI KWELI MKUU UTASEMAYO,HUYU JAMAA AMEDHOOFU MNO.AMEPOTEZA NURU KABISA.
Kama haumwi basi itakuwa ni laana za wasanii aliowahi kuwanyonya au kuwakandamiza
Itakuwa complications za HIV. Unafikiri ni ugonjwa upi ambao hausemwi wazi?Nimepita mahali nikamuona huyu jamaa kama vile amedhoofika sana kiafya.
Anasumbuliwa na nin?
Itakuwa complications za HIV. Unafikiri ni ugonjwa upi ambao hausemwi wazi?
Au sioNI KWELI MKUU UTASEMAYO,HUYU JAMAA AMEDHOOFU MNO.AMEPOTEZA NURU KABISA.
Kama haumwi basi itakuwa ni laana za wasanii aliowahi kuwanyonya au kuwakandamiza