lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Kuna timu iko vizuri kwa utendaji, kazi inaendelea.
Ngoja tuongeze maombi...Ninakuomba Mwenye RFA warudishe wale watangazaji wetu
Ukiona kitu kinakubalika uchaggani sio mchezo
Redio one sisi kwetu uchaggani kwa ajili ya matangazo ya vifo tuu
RFA na Kiss Fm zirudi tena
Atakama unataka Harambee ya buku buku sisi Watanzania Tutacahangia ili ufanikiwe nakuomba sana
RFA at its best moments...Au upate Sindano tano za Moto na FredWa. Ilikua balaa sana RFA
Umenikumbusha mbali sanaDeo kaji makomba kwenye kipind cha michezo... Reporters wakiwemo Steven moi mwamchungi na Angelo Moleka radio free Africa Arusha. Walikua wanasound poa sana
Sent from my vivo 1820 using JamiiForums mobile app
katika maisha hakunaga hali ya kudumuHata angekuwepo huyo RUGE still anguko lingekuwepo.
Hata angekuwepo KANUMBA bongo Movie ingeanguka na angekuwa wakawaida tu.
Sasa hivi hapo Mjengoni kilichobaki na wanachokiweza ni Kuambukizana tu ' Dally Kimoko Solo Guitar Viruses ' kutokana na kupenda Kuzungukana, Tamaa na Kujirahisi Kizembezembe tu kwa Wadau na Wadaawa.Mimi ni mpenzi wa muda mrefu wa vipindi mbalimbali vya CMG. Kabla ya kuondoka kwa Ruge ninafahamu uzuri na ubora wa vipindi CMG ulikuaje na sasa hali ikoje. Kiukweli CMG IMEDORORA!
Haina tena vile vipindi vya amshaamsha ambavyo wapenzi wengi walipenda, mfano asubuhi unapoenda kazini ilikua lazima ufungulie redio ya gari kusikiliza.
Hata ofisini ilikuwa lazima uwashe televisheni uangalie angalau CLOUDS 360. Siku hizi nafikiri watakua wamebaki wachache sana wanao fanya hivyo.
Jitahidini mumtafute mtaalamu mwingine kama Ruge, vinginevyo hali si hali. Anayekueleza ukweli anakupenda!
Tafakari
Kumbe hadi Barwan Muhuza alikuwa RFA duh!
Fred Waa
Rahabu Fungo (Fred)
Elia Migongo
Vipindi nilikuwa napenda ni
Search line (kale kabiti)
Indian flavor (sijui kiliitwaje)
Wikiendi (mziki mwanzo mwisho kuanzia Ijumaa hadi Jumapili)
Mambo mambo
Bangua bongo (ndani ya mambomambo)
Uliza ujibiwe
Je wajua?
Nk