Francis Mawere
JF-Expert Member
- Nov 17, 2015
- 958
- 831
TID bhana habari yake katika Bongo Flava ishakata kitambo, kilichobakia kwake ni kutafuta kick za Hapa na pale and i BET kwamba TID hatotoa ngoma kali tena siku hizi za usoni.Mkuu we huwajui clouds yani wale wakigombana na msanii wanasitisha kupiga nyimbo zake Kama huamini ngoja uone Kama watapiga nyimbo za TID tena ndo maaana ruby aliwaita mungu mtu
umenena vyema kiongozi clouds nadhani ndo rdio inayopiga sana nyimbo za ndani ukilinganisha na radio nyngnila ukiangalia clouds wanajitahidi sana kupiga nyimbo za wasanii wa ndani kiukweli!
Ila ukiangalia chanel nyingine unakuta sio kivile sana kama promo inayofanyika clouds!
Bado haijajitokeza chanel ambayo italeta upinzani wa kupromote wasanii wa nyumbani
TID ana ugomvi na clouds sio clouds kuwa na ugomvi na TIDHuyo huyo mkuu inamaana hujui Kama wana ugomvi
Hiyo nyimbo wanasema ni ya nandy etii, nilishangaa wakati mimi nilijua ni ya rubbyClouds nyimbo za rubby wanapiga kama kawaida.siku ya msiba wa sita walipiga nyimbo ya goodnight zaidi ya Mara 5 huyo JD alikataza mwenyewe wasipige nyimbo zake
Clouds ikiongozwa na mkurugenzi wao RUGE walisusa kupiga nyimbo za mwanamziki Rubby kama walivyofanya kwa LADY JD kutokana na Rubby kuwagomea kufanya show ya FIESTA kutokana na malipo madogo yanayo wanyonya wasanii badala ya kufanya makubaliano wakaamua kumkomoa kwa kutokupiga nyimbo zake lakini leo clouds radio na jana CLOUDS TV wamepiga nyimbo yake na kuionesha ktk TV aliyoimba na yemi alade wa Nigeria ktk Coke studio kutokana na kubanwa na mkataba wao na COCACOLA ...
Viva Rubby na na JAY DEE kwa kujielewa na kuwa na msimamo [emoji1434][emoji1434] wataelewa tu. Wasanii wengine mna kila sababu ya kujielewa na kuwa na msimamo badala ya kupelekwa pelekwa na CLOUDS FM.
Si ufungue radio yako alafu upige nyimbo za ruby 24hrs.ile biashara haiendeshwi kwa kodi zenuHili la Clouds kususia kupiga nyimbo za baadhi ya wasanii wetu ni akili mbovu na ni upumba.vu wa hali ya juu ambao inabidi ukemewe mkwa nguvu zote. Itakuwaje kama Watanzania walio wngi wakisusia kuangalia CLOUDS TV kwa upumba.vu wao wanaoufanya ili kuwakomoa wasanii!?
Inaelekea wazee wetu kipindi cha ukoloni walikuwa na mawazo kama yako na ndiyo maana wakafanywa watumwa.Bila wasaniii kuungana na kuukataa unyonyaji kwa pamoja hawezi kuwafanya lolote Clouds.
Clouds waishajua Njaa za hawa wasaniii na watawafanya wanavyotaka na huyo sijui rubby hana mda mrefu ataenda kupiga magoti.
pili wasaniii wenyewe ndio wapi hapa Bongo? kwa nyimbo zipi za maana walizonazo? acheni Cloods wapige pesa wao walichungulia fursa mapema.
Sugu na usugu wake alikaaza mwenshowe akaja kuachia mwenyewe tena akiwa mbunge. unadhani hicho sijui ki rubby kina nini?
umeongea ukweli kuwa na bifu na mtu sio kushndwa kupga nyimbo zake ila jide yy alikataa zisipgwe ila ruby wanapga tuClouds nyimbo za rubby wanapiga kama kawaida.siku ya msiba wa sita walipiga nyimbo ya goodnight zaidi ya Mara 5 huyo JD alikataza mwenyewe wasipige nyimbo zake
kwani clouds wana bifu na ruby?si ruby alijitafutia bifu ili apate kiki ya kimziki,ambayo kimsingi amefeli na kubaki kutumika na efm kuingiza faida kwenye matamasha ya singeli.kuhusu coke studio sioni kama kuna ubaya kwa clouds kupiga nyimbo ya ruby swali la kujiuliza.Je ruby wa na yule ni sawa na wa walewale? na Je kwanini asiende kuomba msaada ea radio inayosikika atleast baadhi ya mikoa na kwenda efm ya dar peke yake?Hapo utagundua kuwa efm inaendeshwa kwa kutafuta kiki ya clouds na hawako smart,ea radio wapo smart kwa kuona kumpromote ruby ni kumuongopeaClouds ikiongozwa na mkurugenzi wao RUGE walisusa kupiga nyimbo za mwanamziki Rubby kama walivyofanya kwa LADY JD kutokana na Rubby kuwagomea kufanya show ya FIESTA kutokana na malipo madogo yanayo wanyonya wasanii badala ya kufanya makubaliano wakaamua kumkomoa kwa kutokupiga nyimbo zake lakini leo clouds radio na jana CLOUDS TV wamepiga nyimbo yake na kuionesha ktk TV aliyoimba na yemi alade wa Nigeria ktk Coke studio kutokana na kubanwa na mkataba wao na COCACOLA ...
Viva Rubby na na JAY DEE kwa kujielewa na kuwa na msimamo [emoji1434][emoji1434] wataelewa tu. Wasanii wengine mna kila sababu ya kujielewa na kuwa na msimamo badala ya kupelekwa pelekwa na CLOUDS FM.
Mkuu unaongelea Sugu na Prof. J hawa malegendary wa music wa bongo fleva na wabunge au unaongelea wengine wa hapo nyumbani kwenu?Eti clouds wamempigia magoti rubby? dah! Clouds hawaweza kumbembeleza mtu asiye na faida kwa media kama clouds! Huyo rubby ni suala la mda tu!
Mulizeni Roma Mkatoliki mulizeni Prof j mulizeni Sugu!
Rubby atakuja kumpigia magoti mwenye Ruge!
Punguza jazba kidogo alfu edit hapo chini, Sugu hakuwahi kuwabembeleza hao mawingu fmBila wasaniii kuungana na kuukataa unyonyaji kwa pamoja hawezi kuwafanya lolote Clouds.
Clouds waishajua Njaa za hawa wasaniii na watawafanya wanavyotaka na huyo sijui rubby hana mda mrefu ataenda kupiga magoti.
pili wasaniii wenyewe ndio wapi hapa Bongo? kwa nyimbo zipi za maana walizonazo? acheni Cloods wapige pesa wao walichungulia fursa mapema.
Sugu na usugu wake alikaaza mwenshowe akaja kuachia mwenyewe tena akiwa mbunge. unadhani hicho sijui ki rubby kina nini?
Si ufungue radio yako alafu upige nyimbo za ruby 24hrs.ile biashara haiendeshwi kwa kodi zenu
Kwani TID kawatibua nini Clouds??hawa jamaa ndio wanaouua muziki wetu bongoMkuu we huwajui clouds yani wale wakigombana na msanii wanasitisha kupiga nyimbo zake Kama huamini ngoja uone Kama watapiga nyimbo za TID tena ndo maaana ruby aliwaita mungu mtu