NguoYaSikuKuu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 681
- 1,020
Nimesikilza hii video ya msanii Q-chief imenisikitisha sana jinsi wasanii wazuri kama hawa wanavyopotezwa na watu fulani fulani kisa ya masilahi binafsi.
Binafsi nafkiri Q-chief ni moja ya wasanii wenye vipaji sana na mahiri kutokea hapa nchini. Najua ana mapungufu yake,ila sidhani anastahili kuwa alivyo sasa.
Nimegundua baada ya kutazama hii video.
Ruge ni mwiba sana katika tasnia ya sanaa hapa nchini,hataki mtofutiane katika maslahi yake.
Last edited by a moderator: