Kitendo cha mwanamuziki mkongwe wa bongo fleva judith wambura(lady jaydee) kukishutumu kituo cha clouds media group kumkandamiza na kumpoteza kabisa mwanadada huyo kwenye tasnia ya burudani nchini.unajua jide ana ugomvi na mabosi wa clouds hivyo wafanya kazi wengine bado anawasiliana nao vizuri,kila kinachofanyika kule mjengini jide anapata taarifa,hivyo tusipuuze kauli yake.tusubir tuone nini kitajiri...