Rugemalira anadhani mwizi wa Escrow hajulikani?

Rugemalira anadhani mwizi wa Escrow hajulikani?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Serikali ni taasisi kubwa sana, ina macho, masikio na mikono mingi ya kuweza kuona, kusikia na kufahamu jambo kubwa kama wizi wa escrow. Inafahamu kuwa Ruge ametumiwa tu kama bomba la kupitishia hizo hela kwenda kwa wapigaji. Wezi na sababu walizotumia kuzichota hizo pesa lazima serikali inafununu navyo. Kinachoshindikana kuwatia mikoni wezi hawa inawezekana ikiwa ni katiba, matumizi ya hela hizo baada ya kuchotwa au utashi wa kuwakamata.
Mzee Ruge asidhani kuwa ana habari mpya kabisa kwa serikali.
 
Sijakuelewa, naona kama vile umeshtua story tu.
Kwani Ruge kasema neno tena?
 
Kumbe DPP anaweza kupata msaada kutoka kwenu,kwanini msimsaidie kwa manufaa ya umma?
 
Serikali ni taasisi kubwa sana, ina macho, masikio na mikono mingi ya kuweza kuona, kusikia na kufahamu jambo kubwa kama wizi wa escrow. Inafahamu kuwa Ruge ametumiwa tu kama bomba la kupitishia hizo hela kwenda kwa wapigaji. Wezi na sababu walizotumia kuzichota hizo pesa lazima serikali inafununu navyo. Kinachoshindikana kuwatia mikoni wezi hawa inawezekana ikiwa ni katiba, matumizi ya hela hizo baada ya kuchotwa au utashi wa kuwakamata.
Mzee Ruge asidhani kuwa ana habari mpya kabisa kwa serikali.

wewe bwana mkubwa ungekuwa umekuja na jipya tu pale ambapo ungesema kwanini sasa wanaendelea kumshikilia ilihali mwizi anajulikana. hapa umeleta akili robo tu.
 
wewe bwana mkubwa ungekuwa umekuja na jipya tu pale ambapo ungesema kwanini sasa wanaendelea kumshikilia ilihali mwizi anajulikana. hapa umeleta akili robo tu.
itapendeza zaidi kama hayo utayasema ww! humu hatusemi ila tunaandika
 
Back
Top Bottom