eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
Nimesikia hawa wasimamizi wa mali za simba wanaenda mahakamani kuzuia mkutano kama walivyofanya tena mwanzo na kushindwa vibaya
Sasa niwaambie tu hawana uwezo wa kusitisha mkutano kwa sababu hakuna sheria yoyote inayowasapoti
Simba nguvu moja
Tukutane tarehe 13 kwenye mkutano wa marekebisho ya katiba
Sasa niwaambie tu hawana uwezo wa kusitisha mkutano kwa sababu hakuna sheria yoyote inayowasapoti
Simba nguvu moja
Tukutane tarehe 13 kwenye mkutano wa marekebisho ya katiba