Pre GE2025 Rukwa: Aliyekuwa Katibu wa CCM Tawi la Kalepula auawa kwa kukatwa kichwa. Wanne washikiliwa

Pre GE2025 Rukwa: Aliyekuwa Katibu wa CCM Tawi la Kalepula auawa kwa kukatwa kichwa. Wanne washikiliwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Watu wanne mkoani Rukwa wanashikiliwa na Jeshi la Polisi wakituhumiwa kumuua kwa kumkata kwa panga ndugu yao Mashaka Sichone, mkazi wa kijiji cha Kalepula, wilaya ya Kalambo ambaye alikuwa Katibu wa CCM Tawi la Kalepula. Baada ya kufanya ukatili huo walitenganisha kichwa na kiwiliwili kisha kuondoka na kichwa chake.

Kwa mujibu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) tukio hilo lilitokea tarehe 27 Januari 2025 ambapo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, ACP Shadrack Masija amesema kuwa watuhumiwa hao waliamini Mashaka Sichone alihusika kumuua baba yao kwa kumroga.

Soma Pia: Rukwa: Matukio Yanayojiri Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Watu hao walipanga njama ya kumuua ikiwa ni sehemu ya kulipiza kisasi lakini kwa jitihada zilizofanywa na jeshi la polisi tumewakamata, na kupitia mahojiano walithibitisha na kutupeleka walipotupa kile kichwa", amesema ACP Masija
 
Watu wanne mkoani Rukwa wanashikiliwa na Jeshi la Polisi wakituhumiwa kumuua kwa kumkata kwa panga ndugu yao Mashaka Sichone, mkazi wa kijiji cha Kalepula, wilaya ya Kalambo ambaye alikuwa Katibu wa CCM Tawi la Kalepula. Baada ya kufanya ukatili huo walitenganisha kichwa na kiwiliwili kisha kuondoka na kichwa chake.

Kwa mujibu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) tukio hilo lilitokea tarehe 27 Januari 2025 ambapo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, ACP Shadrack Masija amesema kuwa watuhumiwa hao waliamini Mashaka Sichone alihusika kumuua baba yao kwa kumroga.

Soma Pia: Rukwa: Matukio Yanayojiri Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Watu hao walipanga njama ya kumuua ikiwa ni sehemu ya kulipiza kisasi lakini kwa jitihada zilizofanywa na jeshi la polisi tumewakamata, na kupitia mahojiano walithibitisha na kutupeleka walipotupa kile kichwa", amesema ACP Masija
Kifo ni kifo.....
 
Kuuwa kwa kukusudia huko..sasa utashangaa hapo atakayefungwa ni mshika kisu aliyechinja..hz sheria huwa sizielewi kabisa..
 
Watu wanne mkoani Rukwa wanashikiliwa na Jeshi la Polisi wakituhumiwa kumuua kwa kumkata kwa panga ndugu yao Mashaka Sichone, mkazi wa kijiji cha Kalepula, wilaya ya Kalambo ambaye alikuwa Katibu wa CCM Tawi la Kalepula. Baada ya kufanya ukatili huo walitenganisha kichwa na kiwiliwili kisha kuondoka na kichwa chake.

Kwa mujibu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) tukio hilo lilitokea tarehe 27 Januari 2025 ambapo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, ACP Shadrack Masija amesema kuwa watuhumiwa hao waliamini Mashaka Sichone alihusika kumuua baba yao kwa kumroga.

Soma Pia: Rukwa: Matukio Yanayojiri Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Watu hao walipanga njama ya kumuua ikiwa ni sehemu ya kulipiza kisasi lakini kwa jitihada zilizofanywa na jeshi la polisi tumewakamata, na kupitia mahojiano walithibitisha na kutupeleka walipotupa kile kichwa", amesema ACP Masija
Hatari sana....Mambo ya ushirikina.
 
Watu wanne mkoani Rukwa wanashikiliwa na Jeshi la Polisi wakituhumiwa kumuua kwa kumkata kwa panga ndugu yao Mashaka Sichone, mkazi wa kijiji cha Kalepula, wilaya ya Kalambo ambaye alikuwa Katibu wa CCM Tawi la Kalepula. Baada ya kufanya ukatili huo walitenganisha kichwa na kiwiliwili kisha kuondoka na kichwa chake.

Kwa mujibu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) tukio hilo lilitokea tarehe 27 Januari 2025 ambapo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, ACP Shadrack Masija amesema kuwa watuhumiwa hao waliamini Mashaka Sichone alihusika kumuua baba yao kwa kumroga.

Soma Pia: Rukwa: Matukio Yanayojiri Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Watu hao walipanga njama ya kumuua ikiwa ni sehemu ya kulipiza kisasi lakini kwa jitihada zilizofanywa na jeshi la polisi tumewakamata, na kupitia mahojiano walithibitisha na kutupeleka walipotupa kile kichwa", amesema ACP Masija
Laana ya kuteka na kuua wapinzani sasa wanachinjana wenyewe safi sana
 
Yaani bora watu wanyongwe kwa makosa kama haya
Kama imethibitika wapigwe shaba tu ili nao wapate uchungu
Pia itapunguza mauwaji kwa asilimia kubwa sana
 
Back
Top Bottom