Rukwa wapongeza ziara za Rais Majuu!

Yo Yo

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2008
Posts
11,210
Reaction score
1,720
Naiweka ki BAK style yaani copy bin paste....


Nimeitoa kwenye blogu ya salva ikulumawasiliano.blogspot.com
 
Last edited by a moderator:
He! it has come to this? Yaani Rukwa wamepata barabara kwa sababu ya safari za Mwungwana? Long live Vasco Da Gama.
 
Shutuma hizo za Rais kusafiri nje, zimekuwa zinatolewa kila mara Rais Kikwete anapokuwa na safari za Marekani na wala siyo kuhusu safari nyingine.
jamani vasco da gama USA kaenda mara ngapi na Ulaya Asia kaenda mara ngapi?

ziara ya kwenda studio inatufaisha nini watanzania? hii inaoenakana hakuwa na ratiba maalum....eti Obama aje bongo akatembelee Bongo records kwa P funky!!!
 
Ignorance tu ya watu wa Rukwa!

MCA nchi nyingi tu wamepata pesa kule kwa kutimiza masharti na sii lazima kuenda US mara 6 kama JK!
 
He! it has come to this? Yaani Rukwa wamepata barabara kwa sababu ya safari za Mwungwana? Long live Vasco Da Gama.

Pia safari zake zimeifanya nchi kutambulika zaidi kuliko hata wakati wa kambarage,ni Kiongozi aliyebahatika hilo tulishukuru hapa TZ naweza hata kumuita OBAMA wa Afrika .
 
Pia safari zake zimeifanya nchi kutambulika zaidi kuliko hata wakati wa kambarage,ni Kiongozi aliyebahatika hilo tulishukuru hapa TZ naweza hata kumuita OBAMA wa Afrika .
Unatoka Rukwa?
 
Unatoka Rukwa?

Unayaongelea Rukwa Angalia Jiji la Dar wewe unafikiri linajijenga wenywe ?ni mafanikio ya safari za Jk mambo bado ndio kwanza kipindi cha kwanza sasa tusubiri kipindi chapili Nchi ataifanya kuwa new york ya Afrika utajaza mwenywe.
 
Unayaongelea Rukwa Angalia Jiji la Dar wewe unafikiri linajijenga wenywe ?ni mafanikio ya safari za Jk mambo bado ndio kwanza kipindi cha kwanza sasa tusubiri kipindi chapili Nchi ataifanya kuwa new york ya Afrika utajaza mwenywe.
Duh hii mpya.. Dar kuwa NY ya Afrika.. itachukua miaka 200 kufikia hata Maputo!
 
"lakini bado watu wengine wanatuambia tunadhurura tu" jkwalker...

message sent...ukirusha jiwe gizani ...atakayeguna mh!! limempata!!

tunaamini kelele zetu hapa na za wengine zinamfikia......!!

misaada sio muarubaini wa umaskini wetu ...!! ni lazima tulenge kwenye kujitegemea......hata kama siasa ya ujamaa na kujitegemea hamuitaki .basi tuwe na siasa ya KUJITEGEMEA!!!
 
Unayaongelea Rukwa Angalia Jiji la Dar wewe unafikiri linajijenga wenywe ?ni mafanikio ya safari za Jk mambo bado ndio kwanza kipindi cha kwanza sasa tusubiri kipindi chapili Nchi ataifanya kuwa new york ya Afrika utajaza mwenywe.

Ebwana wee huyu jamaa kakoleza kimpumu nini maana sijawahi kusikia wala kuona
pumba kama hii,kwenye mtandao.
 
Taarifa imesomwa na Mykt wa CCM Rukwa, hivyo kichwa cha habari kingefaa kuwa "Wana CCM Rukwa wawajia juu wanaobeza safari za Rais Kikwete nje" .
 
Pia safari zake zimeifanya nchi kutambulika zaidi kuliko hata wakati wa kambarage,ni Kiongozi aliyebahatika hilo tulishukuru hapa TZ naweza hata kumuita OBAMA wa Afrika .

JK kaingia kabla ya Obama so kwa nini Obama asiwe JK wa Marekani? Kuhusu Jk kuwa Obama wa Afrika unajua mwenyewe vigezo ulivyo tumia kuwa linganisha.
 
Unayaongelea Rukwa Angalia Jiji la Dar wewe unafikiri linajijenga wenywe ?ni mafanikio ya safari za Jk mambo bado ndio kwanza kipindi cha kwanza sasa tusubiri kipindi chapili Nchi ataifanya kuwa new york ya Afrika utajaza mwenywe.

This is what I call day time dreaming. Ufisadi wote huo Dar iwe kama New York lini? Ni nini alicho badilisha kuhusu Dar mpaka sasa hivi ili mtu ambae hajatua Dar miaka mitano kweli aone tofauti? Anyway sijui kwa nini hata naji sumbua kujibu, sawa mkuu Dar itakua New York ya Afrika karibuni, kwani kuna tatizo bana.
 
Lengo la kila Mtanzania mwenye nia njema na taifa hili ni kuona maendeleo kwenye sekta ya elimu, afya, barabara, maji etc, lakini kwa nguvu hizi za harambee kubwa kubwa kwa kipindi cha mwaka mmoja kuelekea uchaguzi; napata hofu michango yote isije ikaishia kwenye kampeni na kusudio rasmi lisitimizwe.
 


good thinking/good vision....thanks
 
...Yaani kuahidiwa tu kwamba barabara ya Tunduma-Sumbawanga itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami kuanzia mwisho wa mwaka huu, ishakuwa "tunawalaani kabisa wanaosema ukienda nje unapoteza tu wakati" ?? Si angalau ndugu zetu wasubiri imalizike kujengwa kwanza?? Hivi wanajua kuwa hizo hela za hio barabara zinaweza zikachomekwa mahali pengine wakati wowote na wao wakaishia kuisikia lami kwenye redio tu?
 
Pia safari zake zimeifanya nchi kutambulika zaidi kuliko hata wakati wa kambarage,ni Kiongozi aliyebahatika hilo tulishukuru hapa TZ naweza hata kumuita OBAMA wa Afrika .

Obama Rais wa Marekani ni mzalendo anaeipenda nchi yake na ndio maana sio fisadi wala hawalindi mafisadi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…