Unayaongelea Rukwa Angalia Jiji la Dar wewe unafikiri linajijenga wenywe ?ni mafanikio ya safari za Jk mambo bado ndio kwanza kipindi cha kwanza sasa tusubiri kipindi chapili Nchi ataifanya kuwa new york ya Afrika utajaza mwenywe.
jamani vasco da gama USA kaenda mara ngapi na Ulaya Asia kaenda mara ngapi?
ziara ya kwenda studio inatufaisha nini watanzania? hii inaoenakana hakuwa na ratiba maalum....eti Obama aje bongo akatembelee Bongo records kwa P funky!!!
Hawa ndio wapambe nuksi, eti anasema kipindi cha pili ataifanya Dar kuwa New York!! Kipindi cha pili kama Mwenyezi atampendelea atakuwa anatuibia tu hata fanya lolote yeye na wapambe wake na ndio maana watu wanamuomba Mwenyezi atuondoshee balaa la huyu bwana kupata kipindi cha pili!Mkuu, unapewa nini kwa kulamba viatu vya JK vizuri namna hii?
Hawa ndio wapambe nuksi, eti anasema kipindi cha pili ataifanya Dar kuwa New York!! Kipindi cha pili kama Mwenyezi atampendelea atakuwa anatuibia tu hata fanya lolote yeye na wapambe wake na ndio maana watu wanamuomba Mwenyezi atuondoshee balaa la huyu bwana kupata kipindi cha pili!
Taarifa imesomwa na Mykt wa CCM Rukwa, hivyo kichwa cha habari kingefaa kuwa "Wana CCM Rukwa wawajia juu wanaobeza safari za Rais Kikwete nje" .
Taarifa imesomwa na Mykt wa CCM Rukwa, hivyo kichwa cha habari kingefaa kuwa "Wana CCM Rukwa wawajia juu wanaobeza safari za Rais Kikwete nje" .
Ukitaka kumfahamu fika Mwingira angalia channel yake ya Trenet hauhitaji masimulizi. Jamaa ni player kweli na anazidi kupata wafuasi wanaopenda mahubiri ya mipasho
Hata waliochangia hapa kuwaponda wana-Rukwa bila kuisoma habari vizuri nao wameingia kwenye kundi la ignorants !! Taarifa inasomwa na maybe iliandaliwa na Mwenyekiti wa CCM Rukwa, nyie mnawaponda wana Rukwa wote, hamuoni kwamba ninyi ni sawa na huyo mwenyekiti?Kwame Nkrumah... asante sana... lakini mimi naenda mbali zaidi... kichwa cha habari kingefaa kuwa "Mwenyekiti wa CCM Rukwa awajia juu wanaobeza safari za Rais Kikwete nje"
hii habari nimeitoa kwenye blogu ya ikulu....kwa maana inatoa taarifa za uhakika za ikulu...imeandikwa kama ilivyo......soma hata gazeti la mtanzania la leo...Hata waliochangia hapa kuwaponda wana-Rukwa bila kuisoma habari vizuri nao wameingia kwenye kundi la ignorants !! Taarifa inasomwa na maybe iliandaliwa na Mwenyekiti wa CCM Rukwa, nyie mnawaponda wana Rukwa wote, hamuoni kwamba ninyi ni sawa na huyo mwenyekiti?