Ila John Boko ni hatari Sana. Sikuwahi kumkubali huyu jamaa ila Jana nimeona ubora wake.Inawauma kwa sbb hamkutegemea kwamba tutawanyuka 3 bila na wametoka kapa kwa Mkapa. Mlitamani tunyukwe tena hahaaha.Kunyweni panadol kupunguza maumivu maana nyie leo mna maumivu.
Halafu kwa mpira ule unakuta bado shabiki asiyejua mpira bado anaibeza SimbaInawauma kwa sbb hamkutegemea kwamba tutawanyuka 3 bila na wametoka kapa kwa Mkapa. Mlitamani tunyukwe tena hahaaha.Kunyweni panadol kupunguza maumivu maana nyie leo mna maumivu.
Taratibu mtasema yote, bado kidogo mkubali Simba babalao, hamna chakuwafanya sasa mmeona bora muichukie tu kwa wivu.Ila John Boko ni hatari Sana. Sikuwahi kumkubali huyu jamaa ila Jana nimeona ubora wake.
Lile shuti alilopiga likagonga mwamba lilikuwa hatari Sana lile
Nimeshinda 3-0 tafazali sana.Hongera mtani kwa kushinda 3 kwa 4
BuhahahahahahahahhaTimu zote zilikua zinaombea zipangwe na Simba kwenye hatua ya robo fainali kwakua ndio timu iliyo onekana underdog ( daraja ) na ndio maana fixture ilipo onyesha Kaizer Kapangwa na Simba. Kaizer wali lipuka kwa Shangwe.
Umeandika nini hiki? Simba aliempiga bingwa mtetezi akaongoza kundi mbele ya bingwa mtetezi, endeleeni kujiliwaza tu najua ndio kazi mnayoipenda sana.Timu zote zilikua zinaombea zipangwe na Simba kwenye hatua ya robo fainali kwakua ndio timu iliyo onekana underdog ( daraja ) na ndio maana fixture ilipo onyesha Kaizer Kapangwa na Simba. Kaizer wali lipuka kwa Shangwe.