Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Lakin pale alijua anarekodiwa.... akaambiwa for me only..
kwa lipi sasa, io unaongea tuu toa facts bibie
Unamaanisha???????
wako tayari kudhalilika kisa pesa...., pesa zinazuzua wadada wengi sana.
Kweli shikamoo pesa wadada wanapanga foleni kila Leo, me nawaza tu hivi uzima upo kweli pale mana jamaa ni hatari
ipo siku kitaeleweka tuu
pesa za sembe naona hawana uchungu nazo full show offf
Rummy amefeli kuhusu hilo ila yule demu nae ndo walewale si kama anavyotetewa. .yule dem kicheche wakutupwa na mjini watu washapasiana sana. ..
Baba mmoja.
Ova
duh bora nisha hana mambo ya ajabuajabu
Ww nenda Rahatupu huku unatuaribia moody.Wekeni hiyo video tuione ,wengine hatupo tweeter,facebook wala instagram.
Yani mdada mwenyewe kwa kumcheki yuko so cheap ameyataka mwenyewe tena ile sio cctv ile ni simu kabisaa mpk akageuka nyuma akamwambia unanirekodi bwana,rummy akajibu noo this is special for me n not for anyone hehee watajijua wenyewe
Wekeni hiyo video tuione ,wengine hatupo tweeter,facebook wala instagram.
Namuulizia bidada ye ni nani kwenye hii bongo yetu
Jamaa si wanasema kaumia? Sasa hao madada wanaotifuliwa si wanaenda kusambaza kwa wengine?
mkuu wanawake watatumaliza kwa tamaa,unaweza kujikuta umeukwaa bila kujua
Huyo dada sio bongo muvi ila ni demu wa dogo Aslay wa Yamoto band.ovaaaaa
Huyo mtoto huyo ayayaaa na udogo ule anakwea hilo bonge la mtu daaah