ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,362
- 2,991
Juzi wakati Simba Sports club ikitafuta miwa ya Kagera Sugar kisawasawa, kiungo wa Kegera Sugar Gift Mauya alimchezea rafu za Makusudi zaidi ya moja kwa wakati mmoja mchezaji wa Simba Ibrahimu Ajibu baada ya kushindwa kuuchukua mpira miguuni mwa Ajibu.
Mchezo huo usio wa kiungwana ulipelekea tafrani kubwa kwani haikuishia hapo kwani nohodha Tshabalala alikoswakoswa ngumi ya uso kutoka kwa wachezaji wa kagera baada ya wachezaji wa Simba kutokubaliana na mchezo huo. Refa alikuwa akichezesha mchezo huo aliishia kutoa kadi ya njano kwa Gift kitu ambacho kilionyesha kushindwa kumudu mchezo huo kwani kiuongo huyo wa Kagera alistahili kadi nyekundu kwa kukusudia kucheza rafu zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja baada ya kushindwa kumnyang'anya ajibu mpira.
Mchezo huo usio wa kiungwana ulipelekea tafrani kubwa kwani haikuishia hapo kwani nohodha Tshabalala alikoswakoswa ngumi ya uso kutoka kwa wachezaji wa kagera baada ya wachezaji wa Simba kutokubaliana na mchezo huo. Refa alikuwa akichezesha mchezo huo aliishia kutoa kadi ya njano kwa Gift kitu ambacho kilionyesha kushindwa kumudu mchezo huo kwani kiuongo huyo wa Kagera alistahili kadi nyekundu kwa kukusudia kucheza rafu zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja baada ya kushindwa kumnyang'anya ajibu mpira.